Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Ingekua ni mimi napanga kutalii nchi flani hapa barani Africa, nchi Ambayo ina uchaguzi kama wa Kenya, kusema ukweli ningefikiria sana kabla kuchagua kwenda,
Hii inamaanisha hawa watalii wako na imani na nchi kwamba mambo yatakua shwari, kwahivyo tupige kura, tungoje majibu na atakayeshinda ashinde na haki ma kwa utulivu kisha turudi kuchapa kazi kama kawa hakuna kupmzika
Hii inamaanisha hawa watalii wako na imani na nchi kwamba mambo yatakua shwari, kwahivyo tupige kura, tungoje majibu na atakayeshinda ashinde na haki ma kwa utulivu kisha turudi kuchapa kazi kama kawa hakuna kupmzika