Watambue wachezaji wasiopenda kuangalia mpira kwenye luninga

Bangi bila msosi inaua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Morrison alikataa kuangalia mechi ya Simba na Azam mpaka kocha akambembeleza...alisema hawana jipya jpili nitawafunga tu
 
Kuna wakati nilitaka kuamini kidogo yale usemayo, ila kwa hoja hizi wewe ni SI Unit ya ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye kuuchezea mpira akakupa radha tamu kama unashiriki tendo hakuna kama dinho nabii wasoka messi hana udambwidambwi wadinho hata robo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…