Watambue wachezaji wasiopenda kuangalia mpira kwenye luninga

Watambue wachezaji wasiopenda kuangalia mpira kwenye luninga

Nyie ndio mmeanza kufuatilia mpira juzi 😎.so mnafuata mkumbo tu kwa wengine...angalia style ya uchezaji/kukokota mpira wa Messi na Diego, na style ya gaucho wako aliemuiga Zinedine zidane...in short jamaa yako amekopi from zizo, pamoja na hayo yote and still hajafikia level yake mpaka anastaafu soka, Ustazi kautendea haki mpira ukilinganisha na huyo anaetikisa kiuno kama mtoto wa kike na kuendekeza umalaya jambo ambalo Mungu hapendi, kwa akili yako huyu jamaa utamcompare na akina Diego na Messi kweli!!!...Please give me the statistics za gaucho katika ligi 3 alizocheza then compare na Messi aliecheza only one club! Naomba uniletee now!!


Kitu kingine kijana wangu, usiangalie jina, au vyenga...angalia alichofanya uwanjani je ameleta mafanikio gani katika timu zake? Messi na Maradona ni vipaji kutoka kwa Mungu aliyewaumba na wameutendea mpira ipasavyo kama ni chenga tu na kuuchezea mpira wautakavyo hakuna anaewafikia huo ndio ukweli halisi kijana wangu...mijitu inawapita mabeki wa5 mpaka 6 na wanascore utawalinganisha na gaucho!!! Messi ana uefa 4, 10 La liga tittles and 6 Ballon d'Ore utamlinganisha na gaucho!!



Kuhusu unabii, hilo unalitambua wewe tu... kwa sisi tunaoamini uwepo wa Mungu na mitume wake hatulitambui hilo kijana...hata Maradona na Messi wanaitwa Mungu wa soka lakini sitaki kuamini wala kulitambua hilo...Mungu ninaemjua mimi ni Mungu alietuumba hakuzaa wala hakuzaliwa, ambae, na Mitume wake watabakia kuwa Mitume...



Mwifwa
Bangi bila msosi inaua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Morrison alikataa kuangalia mechi ya Simba na Azam mpaka kocha akambembeleza...alisema hawana jipya jpili nitawafunga tu
 
Kuna wakati nilitaka kuamini kidogo yale usemayo, ila kwa hoja hizi wewe ni SI Unit ya ujinga.
Mafanikio huwa yanapimwa katika club na sio national team kijana wangu "Individual club level" hata hili hulijui!! The Top Executive Coaches in the World wakiulizwa nani wanaemkubali utawasikia MESSI MESSI MESSI..wewe kama nani ubishe! Wabongo ndio maana mnafeli sana...ingia Quotes zao uone wakimtaja Messi moja ya mchezaji bora kuwahi kutokea...ila sijasikia wakimtaja gaucho ni ninyi tu wabongo mnaoshinda hukoo vibandaumiza mnadanganyana tu...

Since his first match for Barcelona in 2004, Lionel Messi has won a whopping 30 trophies with Barcelona. But that's just for Barcelona. He's also won an Olympic gold medal with Argentina at Beijing 2008 and he also won the under-20 World Cup.Nov 10, 2019


Messi is not only one of the best players in the world, but apparently he is the best dribbler in the world.

Mimi nabishana kisoka zaidi, na sio kishabiki kijana...nimekuomba facts za jamaa yako in the three leagues he has ever played unajiuma-uma tu...umeishiwa hoja! Kwaheri!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ndio mmeanza kufuatilia mpira juzi 😎.so mnafuata mkumbo tu kwa wengine...angalia style ya uchezaji/kukokota mpira wa Messi na Diego, na style ya gaucho wako aliemuiga Zinedine zidane...in short jamaa yako amekopi from zizo, pamoja na hayo yote and still hajafikia level yake mpaka anastaafu soka, Ustazi kautendea haki mpira ukilinganisha na huyo anaetikisa kiuno kama mtoto wa kike na kuendekeza umalaya jambo ambalo Mungu hapendi, kwa akili yako huyu jamaa utamcompare na akina Diego na Messi kweli!!!...Please give me the statistics za gaucho katika ligi 3 alizocheza then compare na Messi aliecheza only one club! Naomba uniletee now!!

Kitu kingine kijana wangu, usiangalie jina, au vyenga...angalia alichofanya uwanjani je ameleta mafanikio gani katika timu zake? Messi na Maradona ni vipaji kutoka kwa Mungu aliyewaumba na wameutendea mpira ipasavyo kama ni chenga tu na kuuchezea mpira wautakavyo hakuna anaewafikia huo ndio ukweli halisi kijana wangu...mijitu inawapita mabeki wa5 mpaka 6 na wanascore utawalinganisha na gaucho!!! Messi ana uefa 4, 10 La liga tittles and 6 Ballon d'Ore utamlinganisha na gaucho!!

Kuhusu unabii, hilo unalitambua wewe tu... kwa sisi tunaoamini uwepo wa Mungu na mitume wake hatulitambui hilo kijana...hata Maradona na Messi wanaitwa Mungu wa soka lakini sitaki kuamini wala kulitambua hilo...Mungu ninaemjua mimi ni Mungu alietuumba hakuzaa wala hakuzaliwa, ambae, na Mitume wake watabakia kuwa Mitume...
Kwenye kuuchezea mpira akakupa radha tamu kama unashiriki tendo hakuna kama dinho nabii wasoka messi hana udambwidambwi wadinho hata robo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom