Watambue wana jf wanaotumia simu kama yako

Watambue wana jf wanaotumia simu kama yako

Je unaingia jamii alimaarufu jf kupitia simu ya aina gani ?

1. Hauwei

2. Iphone

3. Samsung

4. Tecno


Simu Nyingine taja mwinyewe. Ukikuta mtu mnatumia simu inayofanana jitahidi muwe marafiki kadri inavyowezekana.

NB: Watambue wana jf wanaotumia simu kama yako ili mpate kusaidia pale mnapopatwa na matatizo ya simu zenu.

Mimi naitumia ki itel kidogoooo cha tochi. Nmefunga na rubber band.
Camon 11 [emoji39]
 
We ni kiraka kama viraka vingine tu na ulichokiandika hukieliwe..


Mm nikajua umekuja na Access ya kutambua simu za wana jf pumbafu
 
Kwa hii simu yangu sito pata rafiki aiseeh
 
Back
Top Bottom