Mabibi na mabwana kumekuwa na kasumba ya kuwafungamanisha wajumbe mitandaoni na vyama vya siasa labda kulingana na maudhui ya mabandiko yao.
Dhana hii kwa hakika ni potofu sana, hasa pale wajumbe husika wanapokuwa hawajijitanabaisha hivyo wazi wazi na kwa IDs zilizokuwa verified.
Itoshe kusema ni kuvikosea sana vyama na viongozi wao, kuwavesha mawazo ya wajumbe wasiojulikana mitandaoni kuwa eti ndiyo misimamo yao rasmi au vyama vyao.
Niazime maneno ya mwanamziki mmoja nguli, "huo ni ushamba!"
Au nasema uongo ndugu zangu?
Dhana hii kwa hakika ni potofu sana, hasa pale wajumbe husika wanapokuwa hawajijitanabaisha hivyo wazi wazi na kwa IDs zilizokuwa verified.
Itoshe kusema ni kuvikosea sana vyama na viongozi wao, kuwavesha mawazo ya wajumbe wasiojulikana mitandaoni kuwa eti ndiyo misimamo yao rasmi au vyama vyao.
Niazime maneno ya mwanamziki mmoja nguli, "huo ni ushamba!"
Au nasema uongo ndugu zangu?