GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Samahani mkuu, kabla ya leo ulishawi kukutana na mtu anayejiita Mtanganyika?Kama hujawahi kumsikia mtu yeyote akijitambulisha Utanganyika wake,basi mimi niwe wa kwanza ,Mimi ni Mtanganyika.
Mimi ni Mtanzania. Nimezaliwa na kukulia upande wa Tanzania Bara, yaani, Tanganyika.
Nimeshamsikia zaidi ya mtu mmoja akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar. Lakini sijawahi kumsikia mtu akijitambulisha kuwa ni Mtanganyika. Mimi binafsi sijawahi kifanya hivyo.
Je! Inawezekana Watanganyika hawaipendi Tanganyika yao kama Wazanzibar wanawanavyoipenda Zanzibar yao?
Mkuu, sijawahi iona ila naamini ipo kwenye ramani ya Dunia ya mwaka 1963.Tanganyika iko wapi katika ramani ya dunia?
Ukweli watanganyika ndio nchi yao inaitwa tanzania. Hata muungano ukivunjika kesho tanganyika itaitwa jamhuri ya tanzania. Hao zanzibar wasiwe na shaka wanaweza kujiita tu wazanzibari maana hawatupunguzii kitu kama hawaitaki tanzania.Mimi ni Mtanzania. Nimezaliwa na kukulia upande wa Tanzania Bara, yaani, Tanganyika.
Nimeshamsikia zaidi ya mtu mmoja akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar. Lakini sijawahi kumsikia mtu akijitambulisha kuwa ni Mtanganyika. Mimi binafsi sijawahi kifanya hivyo.
Je! Inawezekana Watanganyika hawaipendi Tanganyika yao kama Wazanzibar wanawanavyoipenda Zanzibar yao?
Labda wewe ndio hujaiona mbona ipoTanganyika iko wapi katika ramani ya dunia?
Baada ya muungano wetu adhimu, kwa nchi mbili za iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar kuungana na kuunda nchi moja mpya ya JMT, Tanganyika ilikufa na nafasi yake kuchukuliwa na Tanzania Bara, hivyo Tanganyika haipo, it's no more!, it doesn't exist anymore!. Lakini Zanzibar still does exist, japo sio nchi kama nchi bali ni sehemu ya Tanzania lakini ipo!.Mimi ni Mtanzania. Nimezaliwa na kukulia upande wa Tanzania Bara, yaani, Tanganyika.
Nimeshamsikia zaidi ya mtu mmoja akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar. Lakini sijawahi kumsikia mtu akijitambulisha kuwa ni Mtanganyika. Mimi binafsi sijawahi kifanya hivyo.
Je! Inawezekana Watanganyika hawaipendi Tanganyika yao kama Wazanzibar wanawanavyoipenda Zanzibar yao?
Lake TanganyikaLabda wewe ndio hujaiona mbona ipo