Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,390
Nimepata taatrifa kutoka Bukoba kuwa Wamekamtwa watangazaji wanne wa redi kasibante ya Bukoba Mali ya Kagasheki kwa tuhuma za utapeli,kughushi majina na kuiba kifaa cha kurusha matangazo live mali ya waziri kagasheki.
waliokamatwa ni pamoja na
1.Abela Kamala-Meneja wa redio
2.Emmanuel Mbaule-Meneja wa Vipindi
3.Bw Mutabuzi-Meneja Ufundi
hadi sasa wapo ndani kituo cha polisi bukoba mjini.
waliokamatwa ni pamoja na
1.Abela Kamala-Meneja wa redio
2.Emmanuel Mbaule-Meneja wa Vipindi
3.Bw Mutabuzi-Meneja Ufundi
hadi sasa wapo ndani kituo cha polisi bukoba mjini.