Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
😎Lugha inahitaji kuijua,mazoea ya kuitumia kuongea na kuandika,wepesi wa uumbaji maneno na utunduutundu.Usicheke wala usione aibu.Kila lugha ina tabia yake kwa mtumiaji asiye wa asili.Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana
Kuna yule msemaji wa club mtangazaji wa Azam ni mkali sana wa lugha yule dogo, simjui jina kaiva kwenye lugha, English imeenea 💯💯💯Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana
Elimu, elimu, elimu. BURIANI LOWASSANi wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana
Hata mie nimeona hili Sana.Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana
Hata mie nimeona ikifika zamu ya gamondi na benchikha Jamaa wanasikitisha Sana. Ni aibu kubwa kwa level za Media kama Azam.Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana
Asilimia 75 ya Watangazaji wa mpira wa miguu na wachambuzi hawajui kabisa kiingereza.Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana
Patrick Nyembera yuko vizuri mtoe hapo usimuweke kundi moja na Kitenge aliyezungusha form six pale Al-HaramainAsilimia 75 ya Watangazaji wa mpira wa miguu na wachambuzi hawajui kabisa kiingereza.
1. Kitenge
2. Eddo Kumwembe
4. Baraka Mpenja
5. Nyembela
Kumbe kujua Kiingereza ndio Elimu!Elimu, elimu, elimu. BURIANI LOWASSA
Mimi binafsi nishajiuliza muda mrefu, wengi wao ngeli huwa inawapa shida.Ni wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana
China na Russia wamefanya lugha zao za tauafa kuwa na uzito kwa kuwa nchi zenyewe zina uchumi imara.Kumbe kujua Kiingereza ndio Elimu!
China hawajui Kiingereza wametoboa.
Mrusi hajui Kingereza anaRun dunia.
Nenda India, Malaysia nk.
Huu ujinga upo Afrika tu kwa wajinga wachache tambua Kiingereza ni Utumwa, Kataa kuwa mtumwa, KUZA KISWAHILI, KOMAA NA KISWAHILI IWE BIDHAA YA KUUZWA DUNIA NZIMA Watakuja kujifunza tuu.
Nyie mnaopenda showoff endeleeni na Viinglish vyenu na utumwa wenu vichwani.
Nyembera amtoe kingereza anaongea vizuri tena sio kwa kubahatisha...Patrick Nyembera yuko vizuri mtoe hapo usimuweke kundi moja na Kitenge aliyezungusha form six pale Al-Haramain
Shukuran ni kiarabu na yule kocha anakijua hivyo hakuna shidaNi wale wanaohoji makocha baada ya mechi.
Kuna mmoja alikuwa anamhoji kocha wa Simba wa makipa baada ya mechi na JKT. Yaani aibu niliona mimi aisee. Full kujichanganya mfano "what did your players gave you". Mwishoni akashindwa kusema thank you akasema "shukrani"
Ni aibu kwa kweli. Jipigeni msasa kabla mambo hayajawa mabaya sana