mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
naamini azamtv na supersport kuna kamvutano wa kibiashara hilo lipo duniani lakini watangazaji wa supersport hatuwasikiki waikejeri azamfc lakini wa azmtv ingekuwa hivyo ungesikia fedhuri zao hasa kuna mtu mmoja anaitwa twalibu muwa jirekibisheni