Watangazaji na wachambuzi wa Azam TV na usimba na uyanga..

[emoji16][emoji16][emoji16] ss boss wa azam fc anatakiw awek mzigo mezan wasajili team iwe na upinzan mkubwa... mashabk wa team nyngn wakimbilie azam fc

Haiwezekani...Kuna SHABIKI wa zamani wa yanga anaitwa nani sjui???alilia sana kipindi yanga kala tano bila dhidi ya simba yule jamaa aliamua kwa hasira kuwa shabiki wa azam mpaka leo..ila najua ndani ya moyo wake bado anatamani sana kurudi yanga hasa sahizi ambapo yanga wanafanya vizuri ila ndo hvyo hawezi coz alipata kazi huko chamanzi complex
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…