Niliwahi kuvutiwa na waliowahi kuwa watangazaji wa BBC ambao kwa sasa wamestaafu japo wengine bado wapo, kwa kuwataja ni 1.Ally Salehe enzi za 2001 BBC London
2.Idd Seif BBC London miaka hiyo
3. Solomon Mugera BBC London wakati huu.
4.Alex Murithi mpaka sasa bado yupo BBC.
Hao jamaa wana sauti nzito na ya Kuvutia wakati wa kutangaza,
Kwa Bongo niliwahi kuvutiwa na Juma Nkamia, Sued Mwinyi, Jesse John, Abubakari liongo.
Kwa sasa hivi kuna ripota wa ITV Kampala.
Kwa Kenya navutiwa na Moha, John Allan Ami na Dennis Akarri