Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wakristu kuna wakristoHa ha ha wakristu wanaichukia hijabu.
Ukweli unaweza kukuua![]()
Baadhi ya Makamanda na Wapiganaji wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakipata mlo katika Kambi ya JKU (Jeshi la Kujenga Uchumi) katika kuwapongeza kufanikisha sherehe za miaka 50 za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Sherehe hiyo iliandaliwa na Rais wa Zanzibar Dr. Shein ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
Ndiyo maana soko la KITIMOTO wakati wa mfungo huwa linadorola sana,kwa sababu hizi hizi.Kwanini wajifanye kuvaa siku za mfungo tu? Kwanini wasivae siku ZOTE?
Makobaz sio vazi rasmi la kiislamu ni mtu anavaa kwaajili ya urahisi wa kuchukua udhu bila bughudha ya kuvua na kuvaa viatu vya kutumbukiza. Hijabu ni vazi rasmi na la lazima, sio hiari kwa Mwislamu Mwanamke kuvaa hijabu. Hata kanzu sio lazima ni hiari lakini hijabu sio ombi ni LAZIMA. Waambie waislamu wakufundishe kama hujui.Hata kuendesha gari na makobazi ni marufuku. Sijui hii kule visiwani imekaaje!
Nakusuport njisi unavyo taka kufikiri sasa ebu tulia kidogo , uislam n ya waarab ilienezwa kwa upanga na vita na ndoa 'intermarriage' ukristo n ya wazungu iliebezwa kwa misaada, elimu na kadhalika lakin mwisho bado wote wanatubagua , mwisho hakuna kugombana kisa uislam na ukristo coz wote tumekuwa traped , tujifunze kuvumiliana tu ndo tutaish na ipo siku ss' watu weusi' tuta conquer the worldYaani wakristo hii chuki yenu inatisha kwakweli! Sijui kwakuwa dini yenu ni ya kutungwa tu wazungu! Wamewaletea wao wamerudi zao ulaya kuponda maisha, hakuna mzungu anaye care khs ukristo!ila miafrika mzee! Hao wayahudi wenyewe ambao yesu kazaliwa kwao hakuna mkristo, tena wanasema wazi ukristo umetungwa tu na wazungu
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)
TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.
Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.
Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.
TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.
Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
Acha mkwara wako wewe unampiga nan Beat...Uislam ni dini safi na isiyopenda ugomvi ila maneno kama haya ndo husababisha hasira na chuki,leo nimekuambia kistaarabu acha hayo maneno yako,usiwachokoze watu ambao hataki uchokozin