Dr nyanjige
Member
- Nov 14, 2015
- 54
- 31
UOTE="Kashishi yetu, post: 16448450, member: 216336"]Watii sheria za mwajiri wao au la waache kazi. Hatubembelezi mtu. Tupo wengi wenye Digrii za utangazaji na hatuna kazi badala yake tumebaki kuwa watangazaji wa Jamiiforums tu.[/QUOTE]
Ni tz pekee ambapo watu wanawapiga vita wanaovaa mavazi ya kujistir na kinyume chake wanawashabikia wanaopita na vichupi mtaani, poleni sana watz...
Ni tz pekee ambapo watu wanawapiga vita wanaovaa mavazi ya kujistir na kinyume chake wanawashabikia wanaopita na vichupi mtaani, poleni sana watz...