Watangazaji wa Kitanzania waliokoa BBC hasa Kipindi cha Asubuhi cha 'Amka na BBC' acheni huu Unafiki wenu na hi Chuki yenu

Watangazaji wa Kitanzania waliokoa BBC hasa Kipindi cha Asubuhi cha 'Amka na BBC' acheni huu Unafiki wenu na hi Chuki yenu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani Klabu ya Yanga ikifanya vyema katika Mechi zake zozote zile huwa mnatangaza tena kwa Bashasha zote.

Ila Yanga SC hiyo hiyo ikifungwa (kama ilivyofungwa jana na Ihefu FC huko Highland Estates Mbarali) hamtangazi na huwa mnajifanya hamjayapata Matokeo.

Lakini Klabu ya Simba hata ikifungwa tu katika Mchezo wa Kirafiki achilia mbali ile ya Ligi na ya Kimataifa huwa mnakuwa na uharaka mno wa Kuitangaza na hata mkiwa mnatangaza Sauti zenu huwa zinaonyesha kuwa huwa mnafurahia.

Punguzeni Unazi wenu kwa Yanga SC na huu Uzi wangu uwafikie hawa Watangazaji Wanafiki na wenye Chuki na Simba SC kwakuwa ni wana Yanga SC lia lia Omary Mkambala na Scola Kisanga.

Huwa sina Uvumilivu na Wapumbavu, Wanafiki na wenye Chuki na Wivu wa Kipuuzi.
 
Malalamiko FC...
Kwanini Wanaume wote huwa unawakataa na kuwamudu ila Mwanaume Ihefu FC Mwenyewe huwa 'unaitegesha' na Yeye 'anaikandamizia' tu yote myuuuuuuuuuuuuu........?

Kudadadeki.....!!
 
akina scola kisanga
Huyo tokea akiwa EAtv na EA Radio namjua kuwa ni mwana Yanga SC. Na nina 'Faili' lake la Kutosha tu kuhusu 'Kashfa' zake zilizowachosha wengi miaka kadhaa, ila kwa sasa namstahi tu kwani bado hajaingia katika 18 zangu.
 
Hahaaaa wanaita Gaza simba kimataifa
Ni Wanafiki sana na wana Chuki mno na Simba SC. Najua 95% yao huwa Wananisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo najua huu Uzi wangu umewafikia, watajitathmini na watabadilika upesi.

Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu!!
 
Simba ni kubwa kuliko yanga, Simba ikifungwa ni taharuki kubwa lazima washangae na kutangaza
 
mbna unafeli broo, ko timu ikitangazwa kushindwa ndo inakuaje an, na ikishinda ikatangazwa inakuaje! matangazo ni kama taarifa tu na haiwezi kuifanya timu iwe bora au iwe duni uwanjani
 
mbna unafeli broo, ko timu ikitangazwa kushindwa ndo inakuaje an, na ikishinda ikatangazwa inakuaje! matangazo ni kama taarifa tu na haiwezi kuifanya timu iwe bora au iwe duni uwanjani
Hopeless.
 
Back
Top Bottom