Watangazaji wa michezo vichwa, ovyo

Ulipomtaja tu Maulid Kitenge ' fasta ' sana nikamkumbuka ' Mwarabu ' mmoja hivi Merey Balbhabou Mzee wa TIOT. Naomba niishie hapa tafadhali.
Gafla nimeikumbuka moro united,vipi jamaa alikuwa na uhusiano na mau?
 
Gafla nimeikumbuka moro united,vipi jamaa alikuwa na uhusiano na mau?

Naona unachokitafuta sasa ni majibu ya Shombo kutoka Kwangu kisha uanze Kunilaumu. Endelea ' Kuitibua ' Mizimu yangu nikushushie sasa hivi ICBM ukalale nalo vizuri. Kuna Watu mnakera ' to the extent kabisa Swine '.
 
Kumchukia mtu ni dhambi : Ila upande wangu huyu dogo anajiita Nicasius Agwanda "Kotinyo" ni mchambuzi wa hovyo Tz nzima.
Matamshi anavyoyatoa hunifanya nisisikilize kipindi na mbaya zaidi anapenda kudandia uchambuzi pindi mwenzake anapoongea.

Ni mchambuzi wa SportsXtra kitengo cha Basketi (NBA) ila nashangaa anaweza wanyamazisha wakina shafii (Soka) nao wanamstahi wakati anaongea pumba tupu.
 
Naona unachokitafuta sasa ni majibu ya Shombo kutoka Kwangu kisha uanze Kunilaumu. Endelea ' Kuitibua ' Mizimu yangu nikushushie sasa hivi ICBM ukalale nalo vizuri. Kuna Watu mnakera ' to the extent kabisa Swine '.
Sawa mkuu niwie radhi mimi.
 
Reactions: Pep
Sipendi wale wanaobana visauti kama yule Tom Chilala. Bado nasema shafii, Edgar, Jeff, Ambangile, 'ticha', Sued Mwinyi na Luambano ni watangazaji vichwa!!! Kitenge na Waarabu! Mmmmh Du! Kumbeee!!!!!
 

Nakubaliana na wewe. Ana kijisauti cha hovyo na hujifanya mjuaji sana. Huwa anaharibu sana ladha ya sports extra ya clouds fm!
 
Kama post yako shaffih yupo basi hakuna ulichoandika ni rubbish
 
Kama post yako shaffih yupo basi hakuna ulichoandika ni rubbish

Mimi sioni tatizo la Shafii. Anyway watu tunatofautiana mawazo. Hapa ni mahali pa kuelimishana guys. Humohumo kwenye rubbish unaweza kuokota almasi!!
 
Mimi sioni tatizo la Shafii. Anyway watu tunatofautiana mawazo. Hapa ni mahali pa kuelimishana guys. Humohumo kwenye rubbish unaweza kuokota almasi!!
Shafih ni mweupe sana yule jamaa hajui lolote yupo pale cmg kiujanja janja tu toka enzi hizo,,

Narudia tena shafih ni shabiki tu wa mpira kama sisi ila kwenye uchambuzi na tactics za mpira ni mweupe sana,zaidi ya kusoma historia na statistics ambazo hata wew unaweza zipata hama la ziada
 

Sawa ni maoni yako
 
Tigana lukinja anajua kuchambua maana mpira kaucheza yupo EATV ,jamaa anajua halafu hapewi airtime kama hao wabwatukaji kina kitenge
 
Sports extra crew wa clouds ni wanachama wa simba sc
 

dah....teh teh teh teh...kwa kweli nimecheka sana tu..
 
Kuna dogo mmoja clouds anaitwa kotinyo hajafikia viwango vya kuchambua soka kabisa anaharibu kipindi!!....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…