Watangazaji wa Radio Free Africa walikuwa na hatari sana

Watangazaji wa Radio Free Africa walikuwa na hatari sana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hawa jamaa mapengo yao hayajazibwa mpaka Leo

Fedwaa

Mohammed Baraghaza

Rebecca Mulesi

Fedwaa alitisha Sana - katika kuandaa sindano tano za moto

Mohammed Baraghaza alitisha katika , jee huu ni uungwana la hasha huu si uungwana .

Rebecca Mulesi -katika ushauri wako.
 
Naongezea
1.Prince baina Kamukulu mzee wa hindustyle
2..Dr.Loy mlaliki Maganga usku wa mahaba.
3.Stela stumbi (Mrs Loy Maganga)kipindi cha ushauri wako jpili saa mbili asubuh
4.Rahab Fred(Mrs Fredwa) kipindi cha Search line
5.Joseph kaila kipindi cha michezo
6.Fredrick Bundala (Sky walker) kipindi cha sintosahau,showtime na wekeend fever.
7.Sando George Mpanda,Sando G ukipenda KI 2 the D. showtime,wekeend fever ,mpambano wa wasanii.
8.Samwel Davids Kiama ,Uncle sam mzee wa wekeend fever .
Oyaa kakwel jamaa walitisha haswaaa!.
 
siku hizi kuna akina kitoroli ujinga mtupu,,,kuna jama moja anapenda kugombeza watu kwenye kwenye kipindi flani ivi cha kuamshana sijui kama yupo
 
Back
Top Bottom