Watangazaji wengi ni vilaza wa hali ya juu. Sidhani kama huwa wanasomea kazi yao kwa kweli. Yaani kuna wengine ni kupiga makelele, kujichekeshachekesha au kurudiarudia maneno yaleyale kila siku. Mfano huyu anayejiita B12 na Adam Mchovu huwa hakuna kitu kabisaaaaaa.