Sports Extra ya Clouds FM wachambuzi ni wababaishaji. Wakati timu ya taifa inafanya vibaya walisema kocha ni kimeo baada ya kocha kutimuliwa wanadai kufukuza kocha na benchi ni kufurahisha watanzania.
Kwa ujumla ni wababaishaji inaonekana wana chuki na TFF.
Kwa ujumla ni wababaishaji inaonekana wana chuki na TFF.