Watangazaji wafupi wana sauti zenye mvuto zaidi

..ila watu wafupi nao hua wanachonga.. labda ndio maana wanauweza utangazaji.
 
KIBONDE, KIBONDE,KIBONDE no no no no no yule anatafuna ulimi tuu bana sauti yake imekaa kigegereka zaidi
 

Huyu ni mwandishi au muhuni......kama huyu nae ni mwandishi basi hakuna aja ya kuwa na chuo cha uandishi wa habari na walimu kama Ayub Rioba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…