kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Tangu jana nimekuwa nikisikia maoni ya watangazaji wanaoonesha wazi kuumizwa na matokeo ya Simba hasa kwa kuwa yamewa prove wrong.
Wamekuwa wakitumia vyombo vya habari kuikejeli kwa maneno mengi huku wakiamini ushindi wa Simba umetokana na mipango nje ya uwanja kwa asilimia kubwa.
Hii ni dhihaka dhidi ya soka na wapenda soka. Mpira ni mchezo wa wazi na hakuna cha ajabu isipokuwa uwezo wa kucheza na umakini wa wachezaji.
Wameanza kutabiri kama walivyokuwa wakitabiri katika mechi zilizopita.NashAngaa wanaitaja Enyimba.Ila timu hiyo tumewahi kuifunga goli 2 bila hapa nyumbani,mwaka iliyotutoa kwa kutufunga goli 3 bila kwao na kwa ubora waliokuwa nao mwaka ule walichukua ubingwa Afrika.
Simba imewahi kumtoa bingwa Afrika Zamalek.Nasikitika washangiliaji wengi wa uto wanaojiita waandishi wa habari na watangazaji wana maneno ya kishoga sana.Ukiamua kubishana nao,watakushinda kwa uwezo wao wa kuchamba mithili ya wanawake wasiojitambua.
Wamekuwa wakitumia vyombo vya habari kuikejeli kwa maneno mengi huku wakiamini ushindi wa Simba umetokana na mipango nje ya uwanja kwa asilimia kubwa.
Hii ni dhihaka dhidi ya soka na wapenda soka. Mpira ni mchezo wa wazi na hakuna cha ajabu isipokuwa uwezo wa kucheza na umakini wa wachezaji.
Wameanza kutabiri kama walivyokuwa wakitabiri katika mechi zilizopita.NashAngaa wanaitaja Enyimba.Ila timu hiyo tumewahi kuifunga goli 2 bila hapa nyumbani,mwaka iliyotutoa kwa kutufunga goli 3 bila kwao na kwa ubora waliokuwa nao mwaka ule walichukua ubingwa Afrika.
Simba imewahi kumtoa bingwa Afrika Zamalek.Nasikitika washangiliaji wengi wa uto wanaojiita waandishi wa habari na watangazaji wana maneno ya kishoga sana.Ukiamua kubishana nao,watakushinda kwa uwezo wao wa kuchamba mithili ya wanawake wasiojitambua.