Njoo Tanzania ujionee super brands yenye vichwa kama George Malatu, Simon Kabendela na somebody Mutiganzi ila pia usiondoke hujajionea msoma taarifa ya habari anasoma muhtasari akiwa chini halafu anakimbia kwa juu anajikunja kwenye ka angle flani ndo anaendelea na taarifa na usiombe ukute mtangazaji ni mojawapo kati ya wale wadada wenye maumbo kama uyoga
Miaka ya sitini na sabini watangazaji TBC na RTD walikuwa wakifanyiwa voice casting, si kila mtangazaji anaweza kusoma habari fulani kufuatana na sauti na ulimi wake, baada ya hapo anapangiwa kipindi au kazi ya kufanya, siku hizi nadhani ni holela.Yaani kuna kitu kinanikera mno kuangalia stesheni nyingi za TV Tanzania. Ni kwamba watangazaji wengi sana wa TV, wanawake kwa wanaume, wanapofanya matangazo wanakuwa wamengangamala utafikiri wanaishi kwa kula cement. Unakuta mwili umejikaza hawako natural kabisa, wako very conscious kwamba wanaangaliwa.
Halafu kitu kingine kinaniudhi sana ni karibu Watangazaji 95% wa TV na Radio Tanzania wanabadilisha sauti zao. Na wengi wanaongea kwa kusita sita (kwa pause) wakifikiri ndio inapendezesha kutangaza. Kwa nini lakini? Kwa mfano kuna dada mmoja anatabiri hali ya hewa TVT huwa nikimwona tu nabadilisha channel, ananiudhi mno kujibadilisha sauti na kujifanya anaongea kwa pause.
Kuna wakati Mtangazaji nguli Tanzania, Charles Hilary, alisema wanaongea "kizunguzungu" dada mmoja alipozidisha mno kuongea kwa pause. Charles alimuuliza kama alikuwa ameishi nje ya Tanzania muda mrefu kutokana na lafidhi yake, na huyu dada akasema hapana, ni mazoezi tu. Ndipo Charles akashangaa kwamba ni mazoezi ya kuongea kizunguzungu?
Kwa nini msiwe natural katika kukaa na kuongea? Hivi hakuna mafunzo mnapewa? KUna wengine wanadhani wakiongelea puani ndio Kiswahili chao kinaonekana cha kisomi, ovyo kabisa. Nani aliwaambia kubadili sauti zenu hizo na kuongea kwa pause kunapendezesha utangazaji? Mnakera mno na mnaharibu lafidhi ya Kiswahili. Acheni ulimbukeni. Hamuoni CNN, BBC Skynews wanavyoongea? U-artificial wa nini kwenye sauti zenu? Nani aliwaambia mkiongea naturally hampendezeshi matangazo?
😅😅😅huyu jamaa bwana!...yupoyupo migodinihivi huyu siku hizi kapotelea wapi?? Naona ITV wana ripota mwingine wa huko Mara..
Mkuu ndugu nisivowapenda wee a acha tu! ndiyo ningeshindilia Msumari kabisaa! wanafiki na maadui wa kwanza maishani ni ndugu wanakusotesha mbele ya macho yako! hasa ukiwasaidia sana!!Of course ni rahisi kuwajua watangazaji wa aina hiyo humu JF - na wewe ni mmoja wapo au una ndugu yako. Kwa hiyo sitegemei ukaunga mkono thread. Naturally. Lakini najua ujumbe umefika.
Itakuwa hawajiamini alafu hawajikubaliYaani kuna kitu kinanikera mno kuangalia stesheni nyingi za TV Tanzania. Ni kwamba watangazaji wengi sana wa TV, wanawake kwa wanaume, wanapofanya matangazo wanakuwa wamengangamala utafikiri wanaishi kwa kula cement. Unakuta mwili umejikaza hawako natural kabisa, wako very conscious kwamba wanaangaliwa.
Halafu kitu kingine kinaniudhi sana ni karibu Watangazaji 95% wa TV na Radio Tanzania wanabadilisha sauti zao. Na wengi wanaongea kwa kusita sita (kwa pause) wakifikiri ndio inapendezesha kutangaza. Kwa nini lakini? Kwa mfano kuna dada mmoja anatabiri hali ya hewa TVT huwa nikimwona tu nabadilisha channel, ananiudhi mno kujibadilisha sauti na kujifanya anaongea kwa pause.
Kuna wakati Mtangazaji nguli Tanzania, Charles Hilary, alisema wanaongea "kizunguzungu" dada mmoja alipozidisha mno kuongea kwa pause. Charles alimuuliza kama alikuwa ameishi nje ya Tanzania muda mrefu kutokana na lafidhi yake, na huyu dada akasema hapana, ni mazoezi tu. Ndipo Charles akashangaa kwamba ni mazoezi ya kuongea kizunguzungu?
Kwa nini msiwe natural katika kukaa na kuongea? Hivi hakuna mafunzo mnapewa? KUna wengine wanadhani wakiongelea puani ndio Kiswahili chao kinaonekana cha kisomi, ovyo kabisa. Nani aliwaambia kubadili sauti zenu hizo na kuongea kwa pause kunapendezesha utangazaji? Mnakera mno na mnaharibu lafidhi ya Kiswahili. Acheni ulimbukeni. Hamuoni CNN, BBC Skynews wanavyoongea? U-artificial wa nini kwenye sauti zenu? Nani aliwaambia mkiongea naturally hampendezeshi matangazo?
Umeguswa mtangazaji wa TBC!Anzisha yako uwapangie au nenda DSJ na Mlimani ukawapige msasa.
Sio mtafiti ili kujiongezea umahiriNamfahamu kiasi kikubwa matatizo yake kwenye habari ni makubwa anapata taabu sijui inatokana na nini.
Hata mimi nashangaa!
Anzisha yako uwapangie au nenda DSJ na Mlimani ukawapige msasa.
Itakuwa jirani yake huyo.Lini ulimtembelea Christine Amanpour nyumbani?
Labda!Itakuwa jirani yake huyo.
Umepiga palepale. Sikutegemea kuikuta hii comment kwa kweli. Waliwahi kuwa wote Radio One. Hadi ile "Kariibu" ni mule mule kabisa.Hakuna kitu.....anamwiga Abubakary Lyingo...
Mazoezi ya kuongea kizunguYaani kuna kitu kinanikera mno kuangalia stesheni nyingi za TV Tanzania. Ni kwamba watangazaji wengi sana wa TV, wanawake kwa wanaume, wanapofanya matangazo wanakuwa wamengangamala utafikiri wanaishi kwa kula cement. Unakuta mwili umejikaza hawako natural kabisa, wako very conscious kwamba wanaangaliwa.
Halafu kitu kingine kinaniudhi sana ni karibu Watangazaji 95% wa TV na Radio Tanzania wanabadilisha sauti zao. Na wengi wanaongea kwa kusita sita (kwa pause) wakifikiri ndio inapendezesha kutangaza. Kwa nini lakini? Kwa mfano kuna dada mmoja anatabiri hali ya hewa TVT huwa nikimwona tu nabadilisha channel, ananiudhi mno kujibadilisha sauti na kujifanya anaongea kwa pause.
Kuna wakati Mtangazaji nguli Tanzania, Charles Hilary, alisema wanaongea "kizunguzungu" dada mmoja alipozidisha mno kuongea kwa pause. Charles alimuuliza kama alikuwa ameishi nje ya Tanzania muda mrefu kutokana na lafidhi yake, na huyu dada akasema hapana, ni mazoezi tu. Ndipo Charles akashangaa kwamba ni mazoezi ya kuongea kizunguzungu?
Kwa nini msiwe natural katika kukaa na kuongea? Hivi hakuna mafunzo mnapewa? KUna wengine wanadhani wakiongelea puani ndio Kiswahili chao kinaonekana cha kisomi, ovyo kabisa. Nani aliwaambia kubadili sauti zenu hizo na kuongea kwa pause kunapendezesha utangazaji? Mnakera mno na mnaharibu lafidhi ya Kiswahili. Acheni ulimbukeni. Hamuoni CNN, BBC Skynews wanavyoongea? U-artificial wa nini kwenye sauti zenu? Nani aliwaambia mkiongea naturally hampendezeshi matangazo?
yupo wapi sikuhizi manake simsikii tena Capital Radio na Radio One....kile kipindi chake cha Buzuki time kimepooza sana baada ya jamaa kuondokaAlikuwa Mwl wangu nyakati fulani jamaa anajua anajitahidi kiasi chake japo makosa yake ni ya wazi.