Prondo hil ni tatizo kubwa sana sana. Nadhani wale watangazi walio kuwa na uwezo wa kutamka maneno au majina yawe ya watu au Mimi vitongozi nk walisha staafu au hawapo tena ktk tasnia. Ni aibu sana kuna baadhi ya maneno ni very common lakini MTU analitamka tofauti halafu ni mtangazi au msoma taarifa ya habari.
Sasa hapa sijaweka wale ndugu zangu wanao replace 'r' na 'l' yaani inabadilisha kabisa maana ya sentensi.
Hili linawahusu hata viongozi kwwnye hotuba zao. Yaani kifupi ni majanga.
Lakini hata ni matunda ya sisi wabongo wengi hatuna kawaida ya kusoma vitabu. Sasa hizi vocabulary utajifunza vipi wakati hatusomi vitabu vya hadithi au vya kujiendeleza?!!!