Hiyo mizungu si ndio imetuletea Bagamoyo badala ya bwagamoyo na dodoma badala ya idodomiya? Rufiji badala ya RupwiyHayo maneno ya maeneo ya ulaya na ugaibuni sio issue sana kwana hata wazungu wenyewe wakija kwetu maeneo yetu yanawashinda kutamka kinachoniudhi ni wale wanaoshindwa kutofautisha kati ya herufi L na R kwenye magari mathalani atatamka magali
Prondo hil ni tatizo kubwa sana sana. Nadhani wale watangazi walio kuwa na uwezo wa kutamka maneno au majina yawe ya watu au Mimi vitongozi nk walisha staafu au hawapo tena ktk tasnia. Ni aibu sana kuna baadhi ya maneno ni very common lakini MTU analitamka tofauti halafu ni mtangazi au msoma taarifa ya habari.Majina mengine unajifunza kwa kusikiliza wenye majina yao. Mfano Hughes inatamkwa Hyuz sasa utasikia mtangazaji anatamka hugiz/hagiz/hagez
Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
In Spanish there's no J except it's pronounced H eg: Julio pronounce Julio.Man city winger Jesus Navas, pia Juan Mata
R na L ni janga. Mfano Liver na River mwenye tatizo la L na R hapa kumuelewa shida sanaProndo hil ni tatizo kubwa sana sana. Nadhani wale watangazi walio kuwa na uwezo wa kutamka maneno au majina yawe ya watu au Mimi vitongozi nk walisha staafu au hawapo tena ktk tasnia. Ni aibu sana kuna baadhi ya maneno ni very common lakini MTU analitamka tofauti halafu ni mtangazi au msoma taarifa ya habari.
Sasa hapa sijaweka wale ndugu zangu wanao replace 'r' na 'l' yaani inabadilisha kabisa maana ya sentensi.
Hili linawahusu hata viongozi kwwnye hotuba zao. Yaani kifupi ni majanga.
Lakini hata ni matunda ya sisi wabongo wengi hatuna kawaida ya kusoma vitabu. Sasa hizi vocabulary utajifunza vipi wakati hatusomi vitabu vya hadithi au vya kujiendeleza?!!!
Au SWANSEA wanaitamka kama ilivyo.Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
Niandikie chifMimi natamka kama Kiingereza.
Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
Voicha ShtannthskWojciech Szczesny