eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 314
Yangu mmesajili wangapi???Simba kusajili wachezaji 13 hivi ni pendekezo la kocha au kama kawaida yenu kuingilia majukumu ya kocha.Sidhani kama kuna kocha duniani anaweza kusajili timu nzima wakati katoka kuchukua kikombe(FA) Kocha mwenye weledi ya kazi yake asinge kubali kwani anaanza upya na akikosa matarajio ya klabu wanamfukuza.Hivi mtajifunza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
HatojibuKwani hela za usajili huwa tunakuja kuomba mtaa wa pili au ni zetu.
Panya anamshaur mwenye nyumba pa kuficha mikate yake!!Simba kusajili wachezaji 13 hivi ni pendekezo la kocha au kama kawaida yenu kuingilia majukumu ya kocha.Sidhani kama kuna kocha duniani anaweza kusajili timu nzima wakati katoka kuchukua kikombe(FA) Kocha mwenye weledi ya kazi yake asinge kubali kwani anaanza upya na akikosa matarajio ya klabu wanamfukuza.Hivi mtajifunza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umetoa kiasi gani kati ya hizo?Kwani hela za usajili huwa tunakuja kuomba mtaa wa pili au ni zetu.
Siafu alifuatana na tembo kuvuka daraja la mbao. Lile daraja likawa linatikisika mno kwa uzito uliokuwa ukipita juu yake. Walipomaliza kuvuka, siafu akaanza kujisifia, 'laiti tungechelewa kidogo tu kuvuka tungekakatilia mbali kale kwa daraja'! Kumbe yeye ndiye kasiafu!
Pole mkuuSiafu alifuatana na tembo kuvuka daraja la mbao. Lile daraja likawa linatikisika mno kwa uzito uliokuwa ukipita juu yake. Walipomaliza kuvuka, siafu akaanza kujisifia, 'laiti tungechelewa kidogo tu kuvuka tungekakatilia mbali kale kwa daraja'! Kumbe yeye ndiye kasiafu!
Ac Milani imesajiri wachezaji wengi sana tena zaidi ya 10. Wiki iliopita niliona Ac Milan wamesajiri wachezaji 11 na bado wapo mawindoni.Simba kusajili wachezaji 13 hivi ni pendekezo la kocha au kama kawaida yenu kuingilia majukumu ya kocha.Sidhani kama kuna kocha duniani anaweza kusajili timu nzima wakati katoka kuchukua kikombe(FA) Kocha mwenye weledi ya kazi yake asinge kubali kwani anaanza upya na akikosa matarajio ya klabu wanamfukuza.Hivi mtajifunza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ac Milan wamesajili wachezaji 10 na bado wanaendelea kusajili. Lakini usajili wa Ac Milan ni kutokana na mahitaji ya kocha, mwenye thread hakuwa na tatizo juu ya usajili wa wachezaji wengi bali wasiwasi wake ni je hao wachezaji wamependekezwa na kocha?Ac Milan wamesajili wangapi na bado wanaendelea kusajili
Inakuuma nini wewe? Acha tusajili hata timu yote!Simba kusajili wachezaji 13 hivi ni pendekezo la kocha au kama kawaida yenu kuingilia majukumu ya kocha.Sidhani kama kuna kocha duniani anaweza kusajili timu nzima wakati katoka kuchukua kikombe(FA) Kocha mwenye weledi ya kazi yake asinge kubali kwani anaanza upya na akikosa matarajio ya klabu wanamfukuza.Hivi mtajifunza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
achen wivu wa kimavi cz mwaka huu humna pesa ndo mnaionea donge simbaAc Milan wamesajili wachezaji 10 na bado wanaendelea kusajili. Lakini usajili wa Ac Milan ni kutokana na mahitaji ya kocha, mwenye thread hakuwa na tatizo juu ya usajili wa wachezaji wengi bali wasiwasi wake ni je hao wachezaji wamependekezwa na kocha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli watanzania tunasafari ndefu Sana kisoka kwa akili za usimba na uyanga. Yaani mtu aki challenge kitu kwa upande wa yanga ataonekana mshabiki wa simba huyo. hivyo hivyo mtu aki challenge kitu upande wa simba ataonekana haitakii mema simba. Endeleeni na mpira wenu wa kiini macho, huo usimba na uyanga wenu kama utatupatia mafanikio Tanzania kimataifa.achen wivu wa kimavi cz mwaka huu humna pesa ndo mnaionea donge simba