Watani badilikeni,hamjajifunza tu?

Mbona nawe upo kwenye usimba na uyanga au hujioni
 
Nongeweza kukutoa kwenye mshabiki endapo tu ungeweza kuchambua madhaifu ya timu zote mbili simba na yanga then uje kitaifa na ulinganishe na nje

Wewe ni shabiki tena ulie na usimba na uyanga unajitahidi kujitoa ili hali upo ndani ya shimo kama wengine
 
Mleta mada kauliza mnasajili kulingana na ripoti au mahitaji ya kocha au ni mihemko tu ya kumkomoa mtani? Jibu kulingana na ulivyo ulizwa siyo unatoa povu. Cheeeeh!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…