msolopaganzi1954
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 763
- 379
....Napenda kuandika juu ya watani zangu Simba SC na Kuwapa Hongera juu ya Ubora na Uwezo mkubwa Walionao na Kufanikiwa kuwapa Mzigo wa Kutosha Mbambane wa Eswitini.......Ukweli usiopingika Simba Wana muunganiko Mzuri Sana (Chemistry)
.....Nawapa Hongera Sana juu Scouting yao ya Wachezaji,
Hapa Yanga Tumezidiwa Sana, Najuha Hapa Ndo yale mambo ya 10% Yanapochukua Nafasi.
.....Nawapa Hongera Sana juu Scouting yao ya Wachezaji,
Hapa Yanga Tumezidiwa Sana, Najuha Hapa Ndo yale mambo ya 10% Yanapochukua Nafasi.