Tanzania kuna majiji mengi ikiwemo Dar Es Salaam kinara wao.
Jinsi.
Ukiachana na Dar sehemu mahali kwingine huitwa Mikoani
Mfano: Tabora, Shinyanga, Singida, Mara.
Hapa kuna utani juu ya maisha ya watu wa sehemu hizi katika nyanja tofauti tofauti.
Zikiwemo za kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Watani wa Jadi niambieni sasa?