zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Tanzania kuna majiji mengi ikiwemo Dar Es Salaam kinara wao.
Jinsi.
Ukiachana na Dar sehemu mahali kwingine huitwa Mikoani
Mfano: Tabora, Shinyanga, Singida, Mara.
Hapa kuna utani juu ya maisha ya watu wa sehemu hizi katika nyanja tofauti tofauti.
Zikiwemo za kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Watani wa Jadi niambieni sasa?
Jinsi.
Ukiachana na Dar sehemu mahali kwingine huitwa Mikoani
Mfano: Tabora, Shinyanga, Singida, Mara.
Hapa kuna utani juu ya maisha ya watu wa sehemu hizi katika nyanja tofauti tofauti.
Zikiwemo za kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Watani wa Jadi niambieni sasa?