Watani wa jadi Simba na Yanga

Watani wa jadi Simba na Yanga

Tayukwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
2,178
Reaction score
4,410
Habari zenu wanakabumbu

Hapa tufanye ndio sehemu sahihi ya kufurahia tamu za utani na kuuvumilia machungu ya timu hizi mbili nchini kupitia utani huo.

Hizi ndio timu kongwe nchini zenye mashabiki wengi kuliko timu nyingine za humu ndani.

Tetea timu yako kwa mazuri yake.

Pondea timu ya jirani yako kwa madhaifu yake.

Hivi ilikuwaje jina la Zuwenaiende kwa simba na hali ya kuwa Kisinda yupo Yanga?

Mjadala wowote unaoanzishwa na manara wa Yanga ukiletewa majibu na Manara wa simba hivi wanayanga wanajisikiaje?

Ilikuwaje kuwaje Kibu D kuwekwa level moja na Mayele?

Shadeeya OKW BOBAN SUNZU

Karibuni tufurahi
 
WANANCHIIIIIIIIIIOOOOOOOOO. LEO NDIO ILE SIKU AMBAYO WANAYANGA WOTE TUNA BANG NAYO .
YAANI MAKOLO LEO NDIO RASMI WANAGEUZA VYOO MAHALA PAO PA KULILIA.
TUNAENDA KUTINGA FAINALI RASMI KWENYE ARDHI YA UGENINI.
MARK MY WORDS
 
WANANCHIIIIIIIIIIOOOOOOOOO. LEO NDIO ILE SIKU AMBAYO WANAYANGA WOTE TUNA BANG NAYO .
YAANI MAKOLO LEO NDIO RASMI WANAGEUZA VYOO MAHALA PAO PA KULILIA.
TUNAENDA KUTINGA FAINALI RASMI KWENYE ARDHI YA UGENINI.
MARK MY WORDS
Umeikusudia Fainali ya nini mkuu
 
WANANCHIIIIIIIIIIOOOOOOOOO. LEO NDIO ILE SIKU AMBAYO WANAYANGA WOTE TUNA BANG NAYO .
YAANI MAKOLO LEO NDIO RASMI WANAGEUZA VYOO MAHALA PAO PA KULILIA.
TUNAENDA KUTINGA FAINALI RASMI KWENYE ARDHI YA UGENINI.
MARK MY WORDS
Kombe la looser
 
Hapo ndo ulipoharibia uzi wako..!! Haya Mliroga kule SAUZI nje ya nchi kwenye hili hili mnaloliita la looser na hamkulipata..!! Leo hamna kombe lolote kama Dodoma jiji tu..!!
Nimenukuu maneno ya jamaa yako manara
 
Back
Top Bottom