Watani zangu Wahaya leo Mtani wenu Mzanaki nawachana 'Live' ili mbadilike kwani tumeshawachoka

Watani zangu Wahaya leo Mtani wenu Mzanaki nawachana 'Live' ili mbadilike kwani tumeshawachoka

Chonka kasigazi haka kataina magezi😁 Watu wa Mara hamna akili kila kitu ni nguvu bila kutumia akili, mtu kukurarua na panga ni kugusa ndio mana tuwapa kazi ngumu za kulinda nchi mkizubaa tu shaba ziwatandike. Genta ni mtu wa utani na ni mtani wenu msipanic
Try to Educate this damn Fool BIG STONE AND CONER STONE and tell him to get rid of his backwardness Character.
 
Haya watu wa mara kachoteni maji mto mara, mbebe kwa vichwa vyenu hadi kagera ili abakazi na bashaija waoge waondoe mikosi halafu mkikosa nauli ya kurudi kwenu mtamuomba pesa mtani wenu mwigulu ili awawwezeshe mfike mkoani kwenu mara,
Hiki ndicho hasa nilichokuwa nakitaka kwani japo nimewasema kidogo Watani zangu Wahaya ila nilitaka pia tuendelee Kudumisha ule Utamaduni wetu wa Utani na Kutaniana.
 
Iwe Mushaija [emoji1][emoji1][emoji1]
Sema mi nawapenda sana wahaya kuliko watani zetu Waha
Waha na Wahaya wana tofauti gani kwa Ushamba wao japo wenyewe wanajiona ni Wajanja?

Nikiwa kama Mzanaki kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) nina bahati mbaya mno kuwa na Watani zangu wenye Matukio mengi na ya Kishamba kama hawa Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi.

Wabadilike tafadhali.
 
Mbona unakuwa mkali sana, mambo mengine usichukulie serious sana, mbona na wewe umekuja na ID mpya, njoo na yako ya zaman ili mpeane makavu live, sisi wasukuma tunataniwa sana humu lakini tunavumilia wewe kidogo adi kutishiana kuvuana nguo hadhari me sijapenda.
Juha huyo asikupotezee muda Okay?
 
Hiv hao wahaya mnaowasema kila siku...mnawatukana kila siku humu kwenye mitandao walishawahi kuwaomba msaada? Mnawalisha?...vip mnawasaidia kusomesha watoto wao?

Yaan from nowhere mtu anaamka anaanza kusema wahaya...matusi ya nguo..kuwasema mama zetu na dada zetu wa kihaya...


Watu mnashindwa kupambana na Hali zenu za maisha..mko mnashambulia na kutukana makabila ya watu...


Juzi kuna rafiki yangu mmoja anaitwa Rutta..kaenda kuomba kazi mahali...kaambiwa nenda kabila lako likuajiri kisa mhaya..halafu utayasikia humu yanasema wazungu mabaguzi sijui wahindi kumbe yao ndo roho nyeusi
Kama kuna Mtanzania anayewabagua Watani zangu Wahaya kwa sababu hizi ulizotoa hapa GENTAMYCINE sioni Aibu kumuita ni Mpumbavu.

Binafsi kama GENTAMYCINE sina baya na Wahaya kwani ni Marafiki zangu, Walimu na Wahadhiri wangu, Mabosi zangu na Wameshanisaidia mno na najua kuna Mmoja wao ananijua personally na hii ID anaijua na najua atakubaliana nami na Mwenyezi Mungu ambariki zaidi Kimaisha na Kiutendaji.
 
Sioni Sababu ya kukutukana na nikikutuna mm Nitakupa hayo matukano kwa mafumbo na staha Ila yatakuchosha.
Siku moja Yesu aliwaambia ...Kwambiaeni yule mbweha...mbweha Erodi.
Aliwaambia Niko Hapa yapata Leo kesho.....hivyo hakutoa matusi!
Na mm pia stukani mtu.
Kwa Matusi, Kashfa na maneno ya Shombo si tu kwamba nina PhD nayo ila bado sijaona wa Kushindana nami hapa na nje ya hapa sawa?

Ungekuwa unajiamini na huniogopi GENTAMYCINE usingeacha kutumia ID yako inayokulikana na tunaoijua na kutumia hii ID yako mpya Kunitukana, Kunidhalilisha na Kunishambulia sawa?

Na naweza pia kukuruhusu Unitukane uwezavyo hapa JamiiForums kwa hii ID yako na ukisharidhika uniambie ili usiendelee kunipotezea muda wangu na Nikakudharau kwa Kutokukujibu vile vile sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Mimi nafikiri aliyosema Yana ukweli. Tujibu hoja ya msingi. Haya uliyotaja ni kweli ila ni matokeo ya kusoma sana na kuendelea sana. Ni ushahidi kuwa Kagera ni wasomi sana, na hizo ni ajali za kisayansi. Wanasafiri sana ndiyo maana ajali za ndege na meli
Jiulize kwa nini hazitokei musoma? Wahaya ni wafanya biashara na watembezi, ndiyo mkoa unaopakana na nchi nyingi. Kuna muingiliano mkubwa. Kwa hiyo majanga ya Kila nchi lazima tuyagawane (umesahau na kuhost wakimbizi wa Uganda, Rwanda,, Burundi, Kongo) bukoba ni mkoa uliobarikiwa una milima ya volcano, ndiyo mkoa unaolima mazao ya Kila aina, kahawa, ndizi, mahindi, maharage. Kupigwa tetemeko ni hoja ya kijiografia.
Ila just huwezi kukuta michezo michafu kama kukeketa wa wanawake, kukatana mapanga, nyumba mtovu.
Jamii forum unayotumia imetengenezwa na mhaya

Niishie hapo nadhani dose inatosha
 
Kwa Akili zako zilizo jificha kwenye makende unaweza kufikiria Nimetumia ID nyingne ? Mm sio ww ukabadilisha Id unaandika pumba Hapa unachukua id nyingne kuunga mkono na kusifia Kisha kushambulia wanaokupinga huo' ujingaa kwa I'd nyingne.mm Ni new member Hapa cjawahi kuwa na I'd Ila nilikuwa naingia nasoma bila id..hivyo nimeona mnapoteza maana halisi ya huu mtandao na kwa watu wachache walio jaza uji wa hasira kichwani bila Akili Kama ww' mnafanya Jm.ikose mvuto na hata watu wenye Title zao umekuwa ngumu kuwaona Hapa , makampuni makubwa hayafungui I'd Hapa una jua why ...wanafanya research wakiona wachangiaji Ni wepesi kichwani Kama maharage yenye wadudu juu ya maji yanaelea hawaji.
Hawafungui , Wala kutangaza .
Pia moja ya mtu Anaye Andika pumba Hapa , mashudu, mwema Akili za kenge maji Ni ww'
Umeanza kufikiria Nina Id nyingne unajua Kama unaandika Andika Hapa mtu akifanya dot Kama Yuko smart anajua huyu Nani...kumbuka watu hatufanani ' ukiniambia uwongo Naweza kujua Ni uwongo so unafikiri mm na ww tuko sawa? Unafikiri nakujua kwa unavyo thani na uwezo wa kuelezea vzr Ila sio I'd.
Tuliza huo' uji wako hapo kichwani umeyumba sana.
Jitafakari kabla ya kutaka league huku unajisifia .
Matusi nayo Ni PhD.
Mm nimekupa facts 1 ..una Kigugumizi mpaka Sasa una wewe seka .
Nikikupa nyingne ? Nikielezea Tabia zako ? Uliko pita? Unavyo penda ugomvi? Sehemu ulizo fukuzwa kazi?
Nyumbani kwenu? Picha ya huko mkoa kwako? Kaaa kiakili ww.
Kwa Matusi, Kashfa na maneno ya Shombo si tu kwamba nina PhD nayo ila bado sijaona wa Kushindana nami hapa na nje ya hapa sawa?

Ungekuwa unajiamini na huniogopi GENTAMYCINE usingeacha kutumia ID yako inayokulikana na tunaoijua na kutumia hii ID yako mpya Kunitukana, Kunidhalilisha na Kunishambulia sawa?

Na naweza pia kukuruhusu Unitukane uwezavyo hapa JamiiForums kwa hii ID yako na ukisharidhika uniambie ili usiendelee kunipotezea muda wangu na Nikakudharau kwa Kutokukujibu vile vile sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Unajua kimtokacho mtu ndicho kilicho mjaa moyoni. Hamwezi kupita siku bila kutamka hayo uliyo Andika ...Ajenda za nchi za magharibi mnazipushi kwa nguvu zote...kwa kuzitaja mm hata swezi taja Ajenda za wazungu hapa.
Umeshameza Kidonge chako cha Kutibu Ugonjwa Sugu wa Uwendawazimu unaokukabili?

Kama bado hebu Kinywe upesi tafadhali kwani Kimeshakupanda tayari na hatutaki ulete madhara kwa Walio wazima sawa?
 
Umeshameza Kidonge chako cha Kutibu Ugonjwa Sugu wa Uwendawazimu unaokukabili?

Kama bado hebu Kinywe upesi tafadhali kwani Kimeshakupanda tayari na hatutaki ulete madhara kwa Walio wazima sawa?
Nathani unajislezea mwenyewe maana unayo Andika yanasanifu unayowlezea .kuhusu cjui vidonge.
Hunijui ww! Panya mwitu unaandika na kutuna watu wasio kuhusu Mara kubailogia Kama sio Akili kuingia kwenye makende n nn ! Kichwa kimekaa Kama bosheni au kivuli tu Ila maamuzi yanatoka kwenye makende.
 
Kwa Akili zako zilizo jificha kwenye makende unaweza kufikiria Nimetumia ID nyingne ? Mm sio ww ukabadilisha Id unaandika pumba Hapa unachukua id nyingne kuunga mkono na kusifia Kisha kushambulia wanaokupinga huo' ujingaa kwa I'd nyingne.mm Ni new member Hapa cjawahi kuwa na I'd Ila nilikuwa naingia nasoma bila id..hivyo nimeona mnapoteza maana halisi ya huu mtandao na kwa watu wachache walio jaza uji wa hasira kichwani bila Akili Kama ww' mnafanya Jm.ikose mvuto na hata watu wenye Title zao umekuwa ngumu kuwaona Hapa , makampuni makubwa hayafungui I'd Hapa una jua why ...wanafanya research wakiona wachangiaji Ni wepesi kichwani Kama maharage yenye wadudu juu ya maji yanaelea hawaji.
Hawafungui , Wala kutangaza .
Pia moja ya mtu Anaye Andika pumba Hapa , mashudu, mwema Akili za kenge maji Ni ww'
Umeanza kufikiria Nina Id nyingne unajua Kama unaandika Andika Hapa mtu akifanya dot Kama Yuko smart anajua huyu Nani...kumbuka watu hatufanani ' ukiniambia uwongo Naweza kujua Ni uwongo so unafikiri mm na ww tuko sawa? Unafikiri nakujua kwa unavyo thani na uwezo wa kuelezea vzr Ila sio I'd.
Tuliza huo' uji wako hapo kichwani umeyumba sana.
Jitafakari kabla ya kutaka league huku unajisifia .
Matusi nayo Ni PhD.
Mm nimekupa facts 1 ..una Kigugumizi mpaka Sasa una wewe seka .
Nikikupa nyingne ? Nikielezea Tabia zako ? Uliko pita? Unavyo penda ugomvi? Sehemu ulizo fukuzwa kazi?
Nyumbani kwenu? Picha ya huko mkoa kwako? Kaaa kiakili ww.
Mwambie huyo aliyekupa Taarifa zangu Mwanaume je, na tabia yake ya Ushoga aliyonayo amekuhadithia?

Kuhusu sijui kuniweka hapa hadharani GENTAMYCINE na kutoa Taarifa zangu zote nadhani hi ruhusa nilishaitoa mno kwa Wapumbavu wenzako huko nyuma na wakashindwa hivyo nakuruhusu na Wewe Mpumbavu wa leo uniweke hadharani hapa JamiiForums sawa?

Naendelea kusisitiza ungekuwa huniogopi na unajiamini wala usingehangaika kutumia ID mpya kuja Kunishambulia ukidhani Mimi ni Mpumbavu kama ulivyo na sitokujua.

Mwisho ukikutana na aliyekupa details zangu niulizie Kwake je, ana Uhakika wa 100% kuwa huyo Mtoto wake wa Pili ni wake?

Umesema katika Maelezo yako hapa kuwa nilifukuzwa Kazi hivyo kwa Kujiamini kabisa nakuruhusu uweke hapa hiyo Taasisi / Kampuni iliyonifukuza Kazi na itapendeza zaidi hiyo Barua ya Mimi Kufukuzwa Kazi ukaiweka pia na hapa hadharani sawa?

Silaha Kubwa ya GENTAMYCINE ni Kujiamini, Kutoogopa na muda wowote kuwa tayari kwa Vita ambayo pia naiweza na naimudu vile vile.

Pumbavu.
 
Nathani unajislezea mwenyewe maana unayo Andika yanasanifu unayowlezea .kuhusu cjui vidonge.
Hunijui ww! Panya mwitu unaandika na kutuna watu wasio kuhusu Mara kubailogia Kama sio Akili kuingia kwenye makende n nn ! Kichwa kimekaa Kama bosheni au kivuli tu Ila maamuzi yanatoka kwenye makende.
Umeshameza Kidonge chako cha Kutibu Ugonjwa Sugu wa Uwendawazimu unaokukabili?

Kama bado hebu Kinywe upesi tafadhali kwani Kimeshakupanda tayari na hatutaki ulete madhara kwa Walio wazima sawa?
 
Kuna taifa limekutana na mapigo kuliko Israel? Lakini ndio taifa la Mungu!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ukimaanisha Watani zangu Wahaya Mkoa wao wa Kagera ( Bukoba ) ni Mkoa wa Mungu au?

Hivi Siku hizi Wahaya nanyi mmeanza pia Kuvuta Bange / Bangi wa Sisi Wakurya kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) au?
 
Skia ww....M....r...
Sjapewa Details na mtu.
Na unajianika zaidi maana utaende kuwazia watu wengine vibaya bure.
Sasa Mm Ni mwadilifu swezi kukuficha hili.
Taarifa zako cjapewa na mtu mm Ni mtu wa kiroho hivyo kuwa na Amani.
Taarifa hizi zimetoka kwangu hivyo kuwa na Amani.
Usiendelee kuwasema watu bure na Wala usibishane na jiwe Kuu, Utasagika kabisa.
Heri kutulia Kaa na Amani.
 
Back
Top Bottom