Watani zangu 'Wakubwa' Kabila la 'Wahaya' mpo tayari na mmeshajiandaa 'Kisaikolojia' Kuchukiwa na Mkemia?

Watani zangu 'Wakubwa' Kabila la 'Wahaya' mpo tayari na mmeshajiandaa 'Kisaikolojia' Kuchukiwa na Mkemia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wanafunzi waacha vipindi na kuanza kuukimbilia msafara wa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Mhe. Tundu Lissu. Wanafunzi hao walianza kuimba "Tundu Lissu!.. Tundu Lissu!.." Leo Septemba 23, 2020 Msafara huo ulikatiza katika shule hiyo ukielekea Muleba Kusini.

Official Bavicha Taifa

Mbona 'mtamkoma' Mkemia Wetu kwa 'Visasi' vyake. Mnajifanya 'Kutuiga' Sisi 'Mashujaa' na 'Wagumu' wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) Kazi mnayo!
 
Lazima atakuwa amesha wamaindi. Kama tu tume ya uchaguzi inaweza kuamrishwa kutengeneza mapingamizi yasiyokuwa na kichwa wala miguu ili kuwawekea mizengwe na hata kuwaengua wapinzani kwa hila mbovu, basi jamaa hatashindwa kuiamuru NECTA iwadili wanafunzi hawa na wawekewe "marking scheme" yenye majibu ya hila ili tu apate kuwakomoa.
 
Kwa wahaya magufuli pamoja na uraisi wake wanamwita "MSHUTI"
Wahaya dharau Ni asili
Magufuli na Wahaya wanafahamiana vizuri sana. Amefanikiwa sana kuwazuga Wasukuma na wanamwona ni Msukuma lakini Wahaya wamekataa kata kata kwao omushuti ataendelea kuwa omushuti tu hata akijiita muzirankende. Hata Burundi wazirankende wapo!! N ahilo analifahamu.
 
Waliobuni mfumo wa demokrasia waliona mbali kwa checks and balance. Mzee baba hata akirejea atabadilika sana either kuwa moderate ama kufanya maamuzi magumu kuwa katili zaidi. Alijikuza na wapambe ccm kumtukuza mno akajaa upepo kwamba yeye ni nabii fulani, yanayotokea kwa Lissu kwake ni tumbo la kuhara.
 
Waliobuni mfumo wa demokrasia waliona mbali kwa checks and balance. Mzee baba hata akirejea atabadilika sana either kuwa moderate ama kufanya maamuzi magumu kuwa katili zaidi. Alijikuza na wapambe ccm kumtukuza mno akajaa upepo kwamba yeye ni nabii fulani, yanayotokea kwa Lissu kwake ni tumbo la kuhara.
Hawezi kubadirika kamwe! Huyu ni muuaji. Akipewa second term anaweza kuwa hata kama Iddi Amini. Tunamstaafisha rasmi October 28 arudi kupumzika chato
 
Akiponyoka kwenye hiki kitanzi kila mtu atasota. Si ajabu akabadili hadi zile amri kumi ili kujikita zaidi.
Wanaotegemea jamaa atoke ili maisha yao yanyooke watakubali shoo ya huyu Msukuma😃,ngoja tuone. Mimi tangu enzi za mkapa, silii njaa kwahiyo hata aamue kubadili zile amri kumi atajua mwenyewe.
 
Yapo mengi yanayowatia hasira wahaya


Kahawa kulazimishwa kuiuza serikalini Kwa bei ndogo wakati kilo ikiwa 4000 serikali inanunua 1000

Pamoja na kuwa na kiwanda kikubwa cha sukari na kulima miwa huko misenyi lakin bado bei ya sukari iko juu kuliko mikoa mingine ambayo haina.

Matusi na kejeli wakati wa tetemeko wahaya by nature hawapendi dharau

Kutelekezwa kabisa mkoa wa kagera kimiundombinu hasa mji wa Bukoba. Manispaa hii haina hata mradi wowote wa UGLSP siju word bank na mbaya zaidi pesa za ujenzi wa miradi hazitolewi kisa bukoba ni chadema.


Utesajwi na udharirishaji na wahaya wakubwa Tu mfano mufuruki,kabendera, Rugemalila , mwijage,nk wahaya wote ni ndugu hata kama hawajuani.


Hiv ndo vinafanya mkoa huu kuwa hiv na miaka ya mbeleni wasipoangalia utajitenga kutoka tz
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Back
Top Bottom