Watani zangu 'Wakubwa' Kabila la 'Wahaya' mpo tayari na mmeshajiandaa 'Kisaikolojia' Kuchukiwa na Mkemia?

Watani zangu 'Wakubwa' Kabila la 'Wahaya' mpo tayari na mmeshajiandaa 'Kisaikolojia' Kuchukiwa na Mkemia?

Wanafunzi waacha vipindi na kuanza kuukimbilia msafara wa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Mhe. Tundu Lissu. Wanafunzi hao walianza kuimba "Tundu Lissu!.. Tundu Lissu!.." Leo Septemba 23, 2020 Msafara huo ulikatiza katika shule hiyo ukielekea Muleba Kusini.

Official Bavicha Taifa

Mbona 'mtamkoma' Mkemia Wetu kwa 'Visasi' vyake. Mnajifanya 'Kutuiga' Sisi 'Mashujaa' na 'Wagumu' wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) Kazi mnayo!
Hawezi kupita hivyo visasi atafanyia kwake labda
 
Walishajitafakari na kujipanga... Mkemia uchwara atajuta kuwafahamu...
 
Yapo mengi yanayowatia hasira wahaya


Kahawa kulazimishwa kuiuza serikalini Kwa bei ndogo wakati kilo ikiwa 4000 serikali inanunua 1000

Pamoja na kuwa na kiwanda kikubwa cha sukari na kulima miwa huko misenyi lakin bado bei ya sukari iko juu kuliko mikoa mingine ambayo haina.

Matusi na kejeli wakati wa tetemeko wahaya by nature hawapendi dharau

Kutelekezwa kabisa mkoa wa kagera kimiundombinu hasa mji wa Bukoba. Manispaa hii haina hata mradi wowote wa UGLSP siju word bank na mbaya zaidi pesa za ujenzi wa miradi hazitolewi kisa bukoba ni chadema.


Utesajwi na udharirishaji na wahaya wakubwa Tu mfano mufuruki,kabendera, Rugemalila , mwijage,nk wahaya wote ni ndugu hata kama hawajuani.


Hiv ndo vinafanya mkoa huu kuwa hiv na miaka ya mbeleni wasipoangalia utajitenga kutoka tz
Magufuli ataendelea kuwashikisha adabu
 
Mkemia atuache kidogo, yeye ashaambiwa atatunzwa kama wastafu wengine... Hivyo amuachie mbeba maono atufikishe kanani
 
Kwa wahaya magufuli pamoja na uraisi wake wanamwita "MSHUTI"
Wahaya dharau Ni asili
Mshuti ni mtu mchafu sana na anayevaa nguo zinazochanika. Tulipokuwa wadogo tuliitwa "washuti" tulipokuwa tunalowa mchanga na tope kwa kucheza. Ukiitwa hivo unajidharau na kuonekana bwege.

Tafsiri sahihi siijui, nahisi ni Mtutsi au Mhutu wa Rwanda maana walikuwa wanakuja wamechafuka kutoka kwao.
 
Na bado second half watakula msoto hadi wafanane na senene [emoji23][emoji23]
Mwalimu Nyerere alikuwa na bifu nao tangu wapo wote Makerere Uganda ila waliishi miaka yake 24. Huyu atakaa mingapi ata akiongeza kumi tena maana siamini kama hana nia ya kuongeza.
 
Ameshaondoka na yeye anafahamu watu kila siku wanapata muamko sababu walikuwa wanaogopa lakini wamegundua kuwa hakuna wakuwakomboa bali ni wao wenyewe. Hii awamu ndo bye bye wale wa kwenye mikutano yake wanalazimika kwenda sababu ya wasanii siyo kwamba wanampenda
Magufuli anapendwa na watanzania wote hususani wanafunzi wa shule za msingi
 
Yapo mengi yanayowatia hasira wahaya


Kahawa kulazimishwa kuiuza serikalini Kwa bei ndogo wakati kilo ikiwa 4000 serikali inanunua 1000

Pamoja na kuwa na kiwanda kikubwa cha sukari na kulima miwa huko misenyi lakin bado bei ya sukari iko juu kuliko mikoa mingine ambayo haina.

Matusi na kejeli wakati wa tetemeko wahaya by nature hawapendi dharau

Kutelekezwa kabisa mkoa wa kagera kimiundombinu hasa mji wa Bukoba. Manispaa hii haina hata mradi wowote wa UGLSP siju word bank na mbaya zaidi pesa za ujenzi wa miradi hazitolewi kisa bukoba ni chadema.


Utesajwi na udharirishaji na wahaya wakubwa Tu mfano mufuruki,kabendera, Rugemalila , mwijage,nk wahaya wote ni ndugu hata kama hawajuani.


Hiv ndo vinafanya mkoa huu kuwa hiv na miaka ya mbeleni wasipoangalia utajitenga kutoka tz
Tukitoa hiyo aya ya mwisho, Mkuu umeyasema yote [emoji119][emoji119]
 
Mwalimu Nyerere alikuwa na bifu nao tangu wapo wote Makerere Uganda ila waliishi miaka yake 24. Huyu atakaa mingapi ata akiongeza kumi tena maana siamini kama hana nia ya kuongeza.
Hakuna ajuae ataishi miaka mingapi.Kuhusu swala la yeye kuongeza miaka ya utawala, bunge litaamua😃!
 
Back
Top Bottom