ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hawezi kupita hivyo visasi atafanyia kwake labdaWanafunzi waacha vipindi na kuanza kuukimbilia msafara wa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Mhe. Tundu Lissu. Wanafunzi hao walianza kuimba "Tundu Lissu!.. Tundu Lissu!.." Leo Septemba 23, 2020 Msafara huo ulikatiza katika shule hiyo ukielekea Muleba Kusini.
Official Bavicha Taifa
Mbona 'mtamkoma' Mkemia Wetu kwa 'Visasi' vyake. Mnajifanya 'Kutuiga' Sisi 'Mashujaa' na 'Wagumu' wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) Kazi mnayo!
Magufuli ataendelea kuwashikisha adabuYapo mengi yanayowatia hasira wahaya
Kahawa kulazimishwa kuiuza serikalini Kwa bei ndogo wakati kilo ikiwa 4000 serikali inanunua 1000
Pamoja na kuwa na kiwanda kikubwa cha sukari na kulima miwa huko misenyi lakin bado bei ya sukari iko juu kuliko mikoa mingine ambayo haina.
Matusi na kejeli wakati wa tetemeko wahaya by nature hawapendi dharau
Kutelekezwa kabisa mkoa wa kagera kimiundombinu hasa mji wa Bukoba. Manispaa hii haina hata mradi wowote wa UGLSP siju word bank na mbaya zaidi pesa za ujenzi wa miradi hazitolewi kisa bukoba ni chadema.
Utesajwi na udharirishaji na wahaya wakubwa Tu mfano mufuruki,kabendera, Rugemalila , mwijage,nk wahaya wote ni ndugu hata kama hawajuani.
Hiv ndo vinafanya mkoa huu kuwa hiv na miaka ya mbeleni wasipoangalia utajitenga kutoka tz
... kama anataka awe mbogamboga wa mwisho kukalia hicho kiti ajaribu!Akiponyoka kwenye hiki kitanzi kila mtu atasota. Si ajabu akabadili hadi zile amri kumi ili kujikita zaidi.
Mshuti ni mtu mchafu sana na anayevaa nguo zinazochanika. Tulipokuwa wadogo tuliitwa "washuti" tulipokuwa tunalowa mchanga na tope kwa kucheza. Ukiitwa hivo unajidharau na kuonekana bwege.Kwa wahaya magufuli pamoja na uraisi wake wanamwita "MSHUTI"
Wahaya dharau Ni asili
Mwalimu Nyerere alikuwa na bifu nao tangu wapo wote Makerere Uganda ila waliishi miaka yake 24. Huyu atakaa mingapi ata akiongeza kumi tena maana siamini kama hana nia ya kuongeza.Na bado second half watakula msoto hadi wafanane na senene [emoji23][emoji23]
Onyesheni akili zenu kwa dunia mwaka huuKwa kutendo chake cha kutusimanga na kutunyima faraja anastahili makubwa zaidi ya hilo.
Mshuti ni kitu gani?Kwa wahaya magufuli pamoja na uraisi wake wanamwita "MSHUTI"
Wahaya dharau Ni asili
Poleni sanaHawez kututisha tumepitia mengine sasa tuko imara tunajitosheleza imagine majanga yote mfano vita ,matetemeko Magojwa ,Ajari n.k tuko imara
Magufuli ataendelea kuwashikisha adabu
Dawa ni kukaba hadi penalty asipenyeAkiponyoka kwenye hiki kitanzi kila mtu atasota. Si ajabu akabadili hadi zile amri kumi ili kujikita zaidi.
Magufuli anapendwa na watanzania wote hususani wanafunzi wa shule za msingiAmeshaondoka na yeye anafahamu watu kila siku wanapata muamko sababu walikuwa wanaogopa lakini wamegundua kuwa hakuna wakuwakomboa bali ni wao wenyewe. Hii awamu ndo bye bye wale wa kwenye mikutano yake wanalazimika kwenda sababu ya wasanii siyo kwamba wanampenda
Maisha ni kuchagua.Dawa ni kukaba hadi penalty asipenye
Tukitoa hiyo aya ya mwisho, Mkuu umeyasema yote [emoji119][emoji119]Yapo mengi yanayowatia hasira wahaya
Kahawa kulazimishwa kuiuza serikalini Kwa bei ndogo wakati kilo ikiwa 4000 serikali inanunua 1000
Pamoja na kuwa na kiwanda kikubwa cha sukari na kulima miwa huko misenyi lakin bado bei ya sukari iko juu kuliko mikoa mingine ambayo haina.
Matusi na kejeli wakati wa tetemeko wahaya by nature hawapendi dharau
Kutelekezwa kabisa mkoa wa kagera kimiundombinu hasa mji wa Bukoba. Manispaa hii haina hata mradi wowote wa UGLSP siju word bank na mbaya zaidi pesa za ujenzi wa miradi hazitolewi kisa bukoba ni chadema.
Utesajwi na udharirishaji na wahaya wakubwa Tu mfano mufuruki,kabendera, Rugemalila , mwijage,nk wahaya wote ni ndugu hata kama hawajuani.
Hiv ndo vinafanya mkoa huu kuwa hiv na miaka ya mbeleni wasipoangalia utajitenga kutoka tz
Mkuu hapa ni Geita wamevunja Rekodi pia ,na kumbuka huu mkoa ndo anaotoka Jiwe.
Kiufupi Jiwe atachukia nchi nzima baada ya October atakapokua nyumbani anaugulia maumivu.
View attachment 1578536
Hakuna ajuae ataishi miaka mingapi.Kuhusu swala la yeye kuongeza miaka ya utawala, bunge litaamua😃!Mwalimu Nyerere alikuwa na bifu nao tangu wapo wote Makerere Uganda ila waliishi miaka yake 24. Huyu atakaa mingapi ata akiongeza kumi tena maana siamini kama hana nia ya kuongeza.