Watanzania 15 waliovuka mpaka kinyume cha Sheria wakamatwa na Polisi wa Kenya

Watanzania 15 waliovuka mpaka kinyume cha Sheria wakamatwa na Polisi wa Kenya

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Tazama video jinsi wabongo 15 wametiwa mbaroni kwa kuvuka border ya Kenya kinyume cha sheria.

Kwanza Wabongo wengine wametolewa mbio hehehe. Polisi wa Kenya hawatambui uraia wala nini.



 
Watanzania.watanzania, watanzania

Nimewaita Mara tatu sababu nataka aje mtanzania Alie jivua itikad zake za vyama aje Kama mtanzania mwenye kupambania adhi yake na nchi yake

Vyombo vya habari Kenya vimeamua vitumie nguvu kubwa kutuchafua watanzania wao pamoja na nchi Yao leo Kenya ametangaza eti wamekamata watanzania ambao walikua wanajaribu kuingia nchin kwao kwa sir licha ya Rais kua ameziwia na kufunga mipaka

Naona wanacho jaribu kufanya Kenya ni kuakikisha wanaichafua Tanzania pia hata wanasiasa wa Kenya na rais wao baada ya kua wamewauz wanach wao baada ya kuingiza ma Mia ya wachina nchin Kenya wakat Corona imeshika Kasi nchin China kitendo ambacho wakenya wengi walikipigia kelele

Pia Kama anafunga mipaka na Tanzania sababu ya Corona mbona hakuwaziwia wachina wasiingie nchin Kenya kwa sababu ya Corona

Pili leo Kenya imetangaza madereva wa Tanzania 51wmekutwa na Corona ilihal amefunga mipaka toka ma juzi alafu in 24 hours amepima watanzania 51 na wote Wana Corona kawapima Lin na wamepita wapi

Kenya anajaribu kutufanyia mchezo mchafu kipindi ichi cha KORONA



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ondoa hofu Hakuna Anayesikiliza media za Kenya hapa UK, USA, RUSIA, CHINA.
 
Si mmesema hamtafunga mipaka? Sasa mnategemea nini? Hata majumbani majirani huona vitu vingi ambavyo sisi hatuoni.
 
NI HIVI KAMA KWELI WANA CORONA BASI WAPIMWE TENA HUKU KWETU NA WAKIKUTWA HAWANA JUE NINI KINAENDELEA
 
Kenya anasimamia ukweli, jpm analeta masihara

Kama mnajiandaa kupokea watalii sijui watatoka nchi gani wakati tumeshatiwa doa, tusahau utalii hapa nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nae acha ujinga mm hata km sikubaliani na baadhi ya mambo hapa nchi ila linapokuja swala nchi yngu kushambuliwa kwa vyovyote basi nitabaki upande wa nchi yangu..
 
Wamespecify magari gani yanaruhusiwa..kulingana na bidhaa walizobeba..hawajazuia magari yote
 
Kenya ndio analeta siasa anataka kuaminisha ulimwengu kua yeye anapambana na Corona Ila watanzania ndio tunapeleka ukitaka kuamin ilo angalia habari zinavyo tolewa Yan watanzania tunatangazwa Sana kuliko hata wakenya iv hamjiuliz ?
Kenya anasimamia ukweli, jpm analeta masihara

Kama mnajiandaa kupokea watalii sijui watatoka nchi gani wakati tumeshatiwa doa, tusahau utalii hapa nchini
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tunajua hizi ni habari za kujifariji mnaleta kubalance story.mtz aje kenya kutafuta nini kwanza!!!!
 
Hao Ni wakenya wenzenu wa hapo mpakani. Mtanzania hawezi kulilila kuingia Kenya. Ni sawa umkute Msauzi analilia kuingia Somalia.
Itakuwa ajabu!!!!
Sasa Tz ndio kama Sauz na Kenya ndio Somalia? [emoji1] Baadhi yenu watz huwa mnapenda sana kujiliwaza na vitu vya kipumbavu. Hii hii Kenya ambayo omba omba kutoka kanda ya ziwa Tz wametapakaa kwenye miji yote hadi Kathonzweni? Alafu ndugu zenu nao kutoka kaskazini mwa Tz wapo kila sehemu nchini Kenya kwenye mishe zao za kutafuta hela wakichuuza nguo. Kuna soko pia Nairobi, panaitwa Gikomba, kule lugha rasmi ni kichagga. Unajifanya hukumbuki mlivopanick baada ya mbunge Jaguar kutishia kuwachochea wananchi kwenye eneo bunge lake wawafurushe?
 
Back
Top Bottom