GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Mnatengeneza drama za kujifariji? Hayo maigizo matupu hakuna mtanzania hapo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanzaje kulilia kwenda kenya?Sasa Tz ndio kama Sauz na Kenya ndio Somalia? [emoji1] Baadhi yenu watz huwa mnapenda sana kujiliwaza na vitu vya kipumbavu. Hii hii Kenya ambayo omba omba kutoka kanda ya ziwa Tz wametapakaa kwenye miji yote hadi Kathonzweni? Alafu ndugu zenu nao kutoka kaskazini mwa Tz wapo kila sehemu nchini Kenya kwenye mishe zao za kutafuta hela wakichuuza nguo. Kuna soko pia Nairobi, panaitwa Gikomba, kule lugha rasmi ni kichagga. Unajifanya hukumbuki mlivopanick baada ya mbunge Jaguar kutishia kuwachochea wananchi kwenye eneo bunge lake wawafurushe?
Watanzania.watanzania, watanzania
Nimewaita Mara tatu sababu nataka aje mtanzania Alie jivua itikad zake za vyama aje Kama mtanzania mwenye kupambania adhi yake na nchi yake
Vyombo vya habari Kenya vimeamua vitumie nguvu kubwa kutuchafua watanzania wao pamoja na nchi Yao leo Kenya ametangaza eti wamekamata watanzania ambao walikua wanajaribu kuingia nchin kwao kwa sir licha ya Rais kua ameziwia na kufunga mipaka
Naona wanacho jaribu kufanya Kenya ni kuakikisha wanaichafua Tanzania pia hata wanasiasa wa Kenya na rais wao baada ya kua wamewauz wanach wao baada ya kuingiza ma Mia ya wachina nchin Kenya wakat Corona imeshika Kasi nchin China kitendo ambacho wakenya wengi walikipigia kelele
Pia Kama anafunga mipaka na Tanzania sababu ya Corona mbona hakuwaziwia wachina wasiingie nchin Kenya kwa sababu ya Corona
Pili leo Kenya imetangaza madereva wa Tanzania 51wmekutwa na Corona ilihal amefunga mipaka toka ma juzi alafu in 24 hours amepima watanzania 51 na wote Wana Corona kawapima Lin na wamepita wapi
Kenya anajaribu kutufanyia mchezo mchafu kipindi ichi cha KORONA
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania.watanzania, watanzania
Nimewaita Mara tatu sababu nataka aje mtanzania Alie jivua itikad zake za vyama aje Kama mtanzania mwenye kupambania adhi yake na nchi yake
Vyombo vya habari Kenya vimeamua vitumie nguvu kubwa kutuchafua watanzania wao pamoja na nchi Yao leo Kenya ametangaza eti wamekamata watanzania ambao walikua wanajaribu kuingia nchin kwao kwa sir licha ya Rais kua ameziwia na kufunga mipaka
Naona wanacho jaribu kufanya Kenya ni kuakikisha wanaichafua Tanzania pia hata wanasiasa wa Kenya na rais wao baada ya kua wamewauz wanach wao baada ya kuingiza ma Mia ya wachina nchin Kenya wakat Corona imeshika Kasi nchin China kitendo ambacho wakenya wengi walikipigia kelele
Pia Kama anafunga mipaka na Tanzania sababu ya Corona mbona hakuwaziwia wachina wasiingie nchin Kenya kwa sababu ya Corona
Pili leo Kenya imetangaza madereva wa Tanzania 51wmekutwa na Corona ilihal amefunga mipaka toka ma juzi alafu in 24 hours amepima watanzania 51 na wote Wana Corona kawapima Lin na wamepita wapi
Kenya anajaribu kutufanyia mchezo mchafu kipindi ichi cha KORONA
Sent using Jamii Forums mobile app
video[emoji16][emoji16]serious.Watch video