Watanzania 24 wanashikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji Marekani

Watanzania 24 wanashikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji Marekani

Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umesema Serikali ina taarifa rasmi ya watu 24 wanaoaminika kuwa Watanzania wanaoshikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini humo kinyume cha sheria.

“ICE imetuarifu kwamba, watu wanne kati ya hao wameshakamilisha taratibu zote za kimahakama za kuondoshwa nchini Marekani, hivyo watarejeshwa Tanzania muda wowote kuanzia sasa. Watu 20 waliobaki wapo kwenye hatua mbalimbali za kesi zao za uhamiaji huko Marekani,” umeeleza ubalozi huo.

Ubalozi huo umesema hayo katika majibu ya maswali yaliyoulizwa na Mwananchi hivi karibuni kuhusu Watanzania waishio Marekani kinyume cha sheria.

Pia soma Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Mwananchi
Noma sana kuwa Deported.
 
Warudi TANZANIA kuijenga nchi
Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umesema Serikali ina taarifa rasmi ya watu 24 wanaoaminika kuwa Watanzania wanaoshikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini humo kinyume cha sheria.

“ICE imetuarifu kwamba, watu wanne kati ya hao wameshakamilisha taratibu zote za kimahakama za kuondoshwa nchini Marekani, hivyo watarejeshwa Tanzania muda wowote kuanzia sasa. Watu 20 waliobaki wapo kwenye hatua mbalimbali za kesi zao za uhamiaji huko Marekani,” umeeleza ubalozi huo.

Ubalozi huo umesema hayo katika majibu ya maswali yaliyoulizwa na Mwananchi hivi karibuni kuhusu Watanzania waishio Marekani kinyume cha sheria.

Pia soma Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Mwananchi
 
Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umesema Serikali ina taarifa rasmi ya watu 24 wanaoaminika kuwa Watanzania wanaoshikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini humo kinyume cha sheria.

“ICE imetuarifu kwamba, watu wanne kati ya hao wameshakamilisha taratibu zote za kimahakama za kuondoshwa nchini Marekani, hivyo watarejeshwa Tanzania muda wowote kuanzia sasa. Watu 20 waliobaki wapo kwenye hatua mbalimbali za kesi zao za uhamiaji huko Marekani,” umeeleza ubalozi huo.

Ubalozi huo umesema hayo katika majibu ya maswali yaliyoulizwa na Mwananchi hivi karibuni kuhusu Watanzania waishio Marekani kinyume cha sheria.

Pia soma Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Mwananchi
Mimi nadhani hawo ndiyo kundii la Sauti ya Watanzania la Dr Slaa na yule Shangazi Maria na yule mdada machomalyenge
 
Usitetee ujinga acha watoke nchi za watu
Hujui kitu.

Wamarekani wengi kazi wanazozikataa Sababu kubwa wanataka kulipwa wastani wa 200$ kwa saa.
Kiuhalisia hakuna mfanyabishara ambae hapendi cheap labour ukizingatia ugumu wa biashara umeongezeka na wazamiaji ni cheap & hard workers

Upo uwezekano mkubwa Plan ya trump kufeli 85% unless afute kodi ya Majengo na kupunguza gharama za huduma kijamii kama umeme, maji, mafuta, n.k
 
waje, huku kaskazini ni kipindi cha kuyaandaa mashamba kwa msimu wa masika. Kuishi kwa watu ki-ujanjaujanja haifai.

JESUS IS LORD&SAVIOR
Hayo mashamba bila watu wa USA hayalimiki 😹😹
 
Back
Top Bottom