Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana kuwa Deported.Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umesema Serikali ina taarifa rasmi ya watu 24 wanaoaminika kuwa Watanzania wanaoshikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini humo kinyume cha sheria.
“ICE imetuarifu kwamba, watu wanne kati ya hao wameshakamilisha taratibu zote za kimahakama za kuondoshwa nchini Marekani, hivyo watarejeshwa Tanzania muda wowote kuanzia sasa. Watu 20 waliobaki wapo kwenye hatua mbalimbali za kesi zao za uhamiaji huko Marekani,” umeeleza ubalozi huo.
Ubalozi huo umesema hayo katika majibu ya maswali yaliyoulizwa na Mwananchi hivi karibuni kuhusu Watanzania waishio Marekani kinyume cha sheria.
Pia soma Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301
Mwananchi
Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umesema Serikali ina taarifa rasmi ya watu 24 wanaoaminika kuwa Watanzania wanaoshikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini humo kinyume cha sheria.
“ICE imetuarifu kwamba, watu wanne kati ya hao wameshakamilisha taratibu zote za kimahakama za kuondoshwa nchini Marekani, hivyo watarejeshwa Tanzania muda wowote kuanzia sasa. Watu 20 waliobaki wapo kwenye hatua mbalimbali za kesi zao za uhamiaji huko Marekani,” umeeleza ubalozi huo.
Ubalozi huo umesema hayo katika majibu ya maswali yaliyoulizwa na Mwananchi hivi karibuni kuhusu Watanzania waishio Marekani kinyume cha sheria.
Pia soma Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301
Mwananchi
Mimi nadhani hawo ndiyo kundii la Sauti ya Watanzania la Dr Slaa na yule Shangazi Maria na yule mdada machomalyengeUbalozi wa Tanzania nchini Marekani umesema Serikali ina taarifa rasmi ya watu 24 wanaoaminika kuwa Watanzania wanaoshikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini humo kinyume cha sheria.
“ICE imetuarifu kwamba, watu wanne kati ya hao wameshakamilisha taratibu zote za kimahakama za kuondoshwa nchini Marekani, hivyo watarejeshwa Tanzania muda wowote kuanzia sasa. Watu 20 waliobaki wapo kwenye hatua mbalimbali za kesi zao za uhamiaji huko Marekani,” umeeleza ubalozi huo.
Ubalozi huo umesema hayo katika majibu ya maswali yaliyoulizwa na Mwananchi hivi karibuni kuhusu Watanzania waishio Marekani kinyume cha sheria.
Pia soma Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301
Mwananchi
ATL levels , haters its time to watch TVHilo kutokea ni sawa na mimi kuja kuona yellow vaginal discharge ya mamako 🤣.
View attachment 3226173
Hujui kitu.Usitetee ujinga acha watoke nchi za watu
🤣Sasa umeharibu. Mimi nilikuwa nakufagilia kwake!😁
Ila state unyama aisee.. checki 6 lanes izo.Hilo kutokea ni sawa na mimi kuja kuona yellow vaginal discharge ya mamako 🤣.
View attachment 3226173
Habari nzuri km unarudi kusalimia, sio km nyie mnavyowasimanga wengine utasema wakirudishwa matatizo yenu yataisha.!!Wewe kurudi kwenu ni habari mbaya?
Warudi nyumbani haraka wasijepelekwa Guantanamo bay.
Six lanes mbona chache sana.Ila state unyama aisee.. checki 6 lanes izo.
Hayo mashamba bila watu wa USA hayalimiki 😹😹waje, huku kaskazini ni kipindi cha kuyaandaa mashamba kwa msimu wa masika. Kuishi kwa watu ki-ujanjaujanja haifai.
JESUS IS LORD&SAVIOR