Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Ugonjwa wa "INI" maarufu kama Hepatitis B ni ugonjwa hatari sana ambao huua takribani watanzania 30,000 kila mwaka; ugonjwa huu hauna tofauti sana na UKIMWI kwa jinsi unavyoambukizwa.
DALILI ZAKE: Mafua,Kuumwa kichwa,Homa,Kuchoka, na nyonde nyonde (Fatique),kukosa hamu ya kula chakula,kichefu chefu,Kutapika,maumivu kwenye tumbo na wakati mwingine unaweza kuharisha.
MAAMBUKIZI YAKE ni kama ilivyo HIV; natumai zama hizi hakuna asiyejua jinsi gani Virusi vya UKIMWI husambaaa.
Chukua Tahadhari Mapema"
DALILI ZAKE: Mafua,Kuumwa kichwa,Homa,Kuchoka, na nyonde nyonde (Fatique),kukosa hamu ya kula chakula,kichefu chefu,Kutapika,maumivu kwenye tumbo na wakati mwingine unaweza kuharisha.
MAAMBUKIZI YAKE ni kama ilivyo HIV; natumai zama hizi hakuna asiyejua jinsi gani Virusi vya UKIMWI husambaaa.
Chukua Tahadhari Mapema"