Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris

Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris

All the best, ila hapo pa kutoboa at least ni kwenye Riadha tukipambana sana...huko kwingine hatuna experience na mazoezi ya kutosha.
 
Tanzania sijui tunakosea wapi, sijui kwanini hatuoni michezo ni ajira pia tena ya maana. Kweli nchi ya watu Million zaidi ya 60 tunashindwa kujenga kikosi hata cha wachezaji 100, kujenga miundombinu kuwa serious na michezo mashuleni tujenge kizazi cha kiushindani mentality yetu iwe ya kushindana. Vijana wakiona wenzao wamefanikiwa watataka kuiga kama wanavyoiga kuimba. Ningekuwa mimi serikali ningeweka program za kufa mtu ili miaka 10 ijayo tuone matunda na kuendeleza system. Usikute tumewakilshwa wachezaji 7 ila viongozi 20.
 
Hatujui kama tutakuja kuwapata akina Filbert Bay,Seleman Nyambui,nk wa enzi za Mwalimu walioliletea Taifa heshima duniani.
Baada ya miaka hiyo tunapeleka Watalii.
Zimbabwe wamepelekwa wanamichezo 7 na Wasindikizaji zaidi ya 60! Sijui sisi ni wasindikizaji wangapi waliondamana na watu wetu!
 
Hatujui kama tutakuja kuwapata akina Filbert Bay,Seleman Nyambui,nk wa enzi za Mwalimu walioliletea Taifa heshima duniani.
Baada ya miaka hiyo tunapeleka Watalii.
Zimbabwe wamepelekwa wanamichezo 7 na Wasindikizaji zaidi ya 60! Sijui sisi ni wasindikizaji wangapi waliondamana na watu wetu!
Sikuhizi kuna Machawa wa Wanasiasa tu na Uzalendo wa kulazimisha
 
Timu ya Tanzania itawakilishwa na Wanamichezo 7 katika Michezo Mitatu, (Judo, Riadha na Kuogelea)

Katika Riadha, Watashiriki wanariadha 4 wa mbio ndefu, Wanaume 2 (Alphonce Felix Simbu na Gabriel Geay) na Wanawake 2 (Jackline Juma Sakilu na Magdalena Crispin Shauri)

Judo, Mshiriki 1 (Andrew Thomas Mlugu) na Waogeleaji 2, Sophia Anisa Latiff (Mita 50 freestyle) na Collins Phillip Saliboko (Mita 100 freestyle)

Kuanzia leo Julai 26, 2024 Wanamichezo bora Duniani zaidi ya 10,000 wanajumuika Nchini Ufaransa, Jijini Paris katika ufunguzi wa Mashindano ya Michezo ya Olimpiki, ambapo Medani 300 tuu za Dhahabu zinashindaniwa

Wanamichezo watashindana kukimbia, kuruka, kuogelea, judo, ndondi, tenisi, polo, golf, kuendesha Baiskeli, kuendesha Mashua, mazoezi ya Viungo na mingine mingi

Sherehe ya ufunguzi inafanyika leo Julai 26, 2024, huku kukiwa na jumla ya siku 19 za mashindano. Medali ya kwanza ya dhahabu itashindaniwa kesho Julai 27 na itakuwa kutoka kwenye mashindano ya kupiga risasi.


Sherehe ya kufunga Mashindano itafanyika Jumapili, Agosti 11, 2024

Unadhani Timu ya Tanzania italeta Medali ngapi nyumbani?

.........

This year, the world's greatest athletes will come together in France's capital city Paris to run, jump, swim, twist, twirl, kick, punch and climb their way to the top of the Olympic podium.

These Games are, for many athletes, the pinnacle of their sport - there is no greater achievement than earning an Olympic gold medal.
But with more than 10,000 athletes competing and only 300 gold medals up for grabs, only the best will be able to call themselves Olympic champions when the Games end.

So, here is everything you need to know about the 2024 Olympics.

When do the Paris Olympic Games start?

What a spot for an Olympic selfie!
The opening ceremony will take place on Friday 26 July 2024.
There will be a total of 19 days of competition but some preliminary events take place before the opening ceremony, such as archery qualifying and early rounds of rugby sevens, football and handball.
The first gold medal will be won on Saturday 27 July and will likely come from the shooting ranges, with rifle and pistol shooting competitions kicking things off.

This will be followed by 16 days of world class sport, and Newsround will be in Paris to make sure you don't miss a moment.
The closing ceremony takes place on Sunday 11 August.

What sports will we see at the Paris Olympics?

Team GB's Charlotte Worthington took gold in Tokyo - can she do it again in Paris?

There will be plenty of the traditional Olympic sports such as athletics, swimming, rowing and cycling as well as gymnastics, badminton, tennis and boxing.

This year, surfing, skateboarding, BMX freestyle and sport climbing will also return after their success in Tokyo.


There will also be the brand new addition of breaking at this year's Games, which is a form of acrobatic dance where competitors combine power moves and freezes to impress judges and earn themselves the Olympic gold medal.

We can also expect to see combat sports such as taekwondo, judo and wrestling.


The Olympics is often a great opportunity to see sports you don't get the chance to watch very often, for example water polo, artistic swimming, fencing, handball and basketball.

New events in the sailing competitions will also include a form of windsurfing called iQFoil and kiteboarding.


Sources: CNN, BBC Sports, Reutters
Utasikia timu itaambatana na maofisa 39.
 
Jana nilikuwa naangalia ufunguzi kuanzia SAA 1 usiku Hadi SAA 6 usiku hakika wenzetu wanajua Sana kuandaa ceremony zao..
Jinsi lile eneo lote la NORTE DAME CATHEDRAL na EIFFEL TOWER walivyodesign Kwaajili ya ufunguzi ilikuwa tamu Sana, timu zote shiriki zilikuwepo huku wakipita kwenye boti maalumu Kwaajili ya utambulisho

Tanzania tumepeleka timu ya watu wachache Sana wasiozidi watu 8 yaani wametuzidi Hadi Zimbabwe, Burundi na Malawi.
Wenye DStv ni muda wa kuenjoy huu umefika maana zile channels zote za super sport zimeshushwa kwenye package zote hadi kifurushi cha family
 
Wakristo duniani kote wamechukizwa na opening ceremony jinsi walivyodhihaki tukio la BWANA YESU AKILA LAST SUPPER NA WANAFUNZI WAKE( kwa wakatoliki hii ni sacrament takatifu).
Ufunguzi huu umeshirikisha mashoga wengi Sana kuanzia waimbaji, dancers na wale Queens.

Artistic director wa ceremony ni THOMAS JOLLY huyu SHOGA aliyekubuhu ni bilioena lkn ndiyo hivyo SHOGA, ingawa ufunguzi umetia fora duniani kote Kwa ubunifu wao Ila kasoro za kudhihaki Imani za watu zimetia doa
...hii ni baadhi ya picha zinalalamikiwa duniani
20240727_084449.jpg
 
Nchi ina wananchi zaidi ya milioni 60+!!! Halafu katika mashindano yenye wanamichezo 10,000! Inapeleka wanamichezo 7 pekee!! Hivi nchi yetu ina kipi cha kujivunia?

Mheshimiwa Gerson Msigwa, wewe umekuwa Katibu Mkuu kwenye Wizara ya Michezo, Vijana na Utamaduni! Jambo hili unaona liko sawa kweli!! Miaka nenda Katibu Mkuu wa TOC ni Filbert Bayi!! Hivi hakuna watu wengine wenye mawazo mapya, wa kuongoza hiyo kamati ili tuone mabadiliko?
 
Nchi ina wananchi zaidi ya milioni 60+!!! Halafu katika mashindano yenye wanamichezo 10,000! Inapeleka wanamichezo 7 pekee!! Hivi nchi yetu ina kipi cha kujivunia?

Mheshimiwa Gerson Msigwa, wewe umekuwa Katibu Mkuu kwenye Wizara ya Michezo, Vijana na Utamaduni! Jambo hili unaona liko sawa kweli!! Miaka nenda Katibu Mkuu wa TOC ni Filbert Bayi!! Hivi hakuna watu wengine wenye mawazo mapya, wa kuongoza hiyo kamati ili tuone mabadiliko?
Nimeshangaa kuna michezo mpaka ya kulenga shabaa kweli hatuna wawakilishi?,kuogelea ndio mchezo unaniuma maana nilishawahi kukaa kisiwa cha ukerewe kama miezi miwili kuna miamba inaogelea kwa style mbalimbali ambazo hata olympic sijawahi kuona watu kama hao tusingekosa medal , mchezo wa kutupa mkuki nimesikia sina uhakika kuna kabila hapo manyara mambo ya mkuki na mishale wanajua kuliko kusoma na kuandika kama ni kweli kwanini wasitafutwe wakawa trained ?
 
Waogeleaji na wanariadha wanaowakilisha kila mashindano ni hao hao unategemea nini kipya kitatokea ? Hao ni watalii waliovaa jezi .
Kinachodidimiza michezo ni kuwa na viongozi wabovu wanaoangalia maslahi Yao na matumbo Yao tu .
 
Waogeleaji na wanariadha wanaowakilisha kila mashindano ni hao hao unategemea nini kipya kitatokea ? Hao ni watalii waliovaa jezi .
Kinachodidimiza michezo ni kuwa na viongozi wabovu wanaoangalia maslahi Yao na matumbo Yao tu .
Bila kusahau undugunization a.k.a nepotism na mambo ya uchama kwa kwenda mbele.
 
Tusubiri kusikia wanamichezo wa nchi maskini watakavyozamia huko ufaransa baada ya michezo.
Yaani kuna wanamichezo hawaendi kushiriki tu bali wana mipango yao ya kuzamia huko
 
Jana nimeona dada mmoja akipeperusha bendera ya ujerumani kwenye mbio za mita 1500 anaitwa MALAIKA MIHAMBO
 
Back
Top Bottom