muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Viongozi wanakuwa wengi kuliko wanamichezo.Mwaka huu kwenye Olympic wameenda watalii wachache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wanakuwa wengi kuliko wanamichezo.Mwaka huu kwenye Olympic wameenda watalii wachache
Sikuhizi kuna Machawa wa Wanasiasa tu na Uzalendo wa kulazimishaHatujui kama tutakuja kuwapata akina Filbert Bay,Seleman Nyambui,nk wa enzi za Mwalimu walioliletea Taifa heshima duniani.
Baada ya miaka hiyo tunapeleka Watalii.
Zimbabwe wamepelekwa wanamichezo 7 na Wasindikizaji zaidi ya 60! Sijui sisi ni wasindikizaji wangapi waliondamana na watu wetu!
Utasikia timu itaambatana na maofisa 39.Timu ya Tanzania itawakilishwa na Wanamichezo 7 katika Michezo Mitatu, (Judo, Riadha na Kuogelea)
Katika Riadha, Watashiriki wanariadha 4 wa mbio ndefu, Wanaume 2 (Alphonce Felix Simbu na Gabriel Geay) na Wanawake 2 (Jackline Juma Sakilu na Magdalena Crispin Shauri)
Judo, Mshiriki 1 (Andrew Thomas Mlugu) na Waogeleaji 2, Sophia Anisa Latiff (Mita 50 freestyle) na Collins Phillip Saliboko (Mita 100 freestyle)
Kuanzia leo Julai 26, 2024 Wanamichezo bora Duniani zaidi ya 10,000 wanajumuika Nchini Ufaransa, Jijini Paris katika ufunguzi wa Mashindano ya Michezo ya Olimpiki, ambapo Medani 300 tuu za Dhahabu zinashindaniwa
Wanamichezo watashindana kukimbia, kuruka, kuogelea, judo, ndondi, tenisi, polo, golf, kuendesha Baiskeli, kuendesha Mashua, mazoezi ya Viungo na mingine mingi
Sherehe ya ufunguzi inafanyika leo Julai 26, 2024, huku kukiwa na jumla ya siku 19 za mashindano. Medali ya kwanza ya dhahabu itashindaniwa kesho Julai 27 na itakuwa kutoka kwenye mashindano ya kupiga risasi.
Sherehe ya kufunga Mashindano itafanyika Jumapili, Agosti 11, 2024
Unadhani Timu ya Tanzania italeta Medali ngapi nyumbani?
.........
This year, the world's greatest athletes will come together in France's capital city Paris to run, jump, swim, twist, twirl, kick, punch and climb their way to the top of the Olympic podium.
These Games are, for many athletes, the pinnacle of their sport - there is no greater achievement than earning an Olympic gold medal.
But with more than 10,000 athletes competing and only 300 gold medals up for grabs, only the best will be able to call themselves Olympic champions when the Games end.
So, here is everything you need to know about the 2024 Olympics.
When do the Paris Olympic Games start?
What a spot for an Olympic selfie!
The opening ceremony will take place on Friday 26 July 2024.
There will be a total of 19 days of competition but some preliminary events take place before the opening ceremony, such as archery qualifying and early rounds of rugby sevens, football and handball.
The first gold medal will be won on Saturday 27 July and will likely come from the shooting ranges, with rifle and pistol shooting competitions kicking things off.
This will be followed by 16 days of world class sport, and Newsround will be in Paris to make sure you don't miss a moment.
The closing ceremony takes place on Sunday 11 August.
What sports will we see at the Paris Olympics?
Team GB's Charlotte Worthington took gold in Tokyo - can she do it again in Paris?
There will be plenty of the traditional Olympic sports such as athletics, swimming, rowing and cycling as well as gymnastics, badminton, tennis and boxing.
This year, surfing, skateboarding, BMX freestyle and sport climbing will also return after their success in Tokyo.
There will also be the brand new addition of breaking at this year's Games, which is a form of acrobatic dance where competitors combine power moves and freezes to impress judges and earn themselves the Olympic gold medal.
We can also expect to see combat sports such as taekwondo, judo and wrestling.
The Olympics is often a great opportunity to see sports you don't get the chance to watch very often, for example water polo, artistic swimming, fencing, handball and basketball.
New events in the sailing competitions will also include a form of windsurfing called iQFoil and kiteboarding.
Sources: CNN, BBC Sports, Reutters
Kenya kimewakaUtasikia timu itaambatana na maofisa 39.
Nimeshangaa kuna michezo mpaka ya kulenga shabaa kweli hatuna wawakilishi?,kuogelea ndio mchezo unaniuma maana nilishawahi kukaa kisiwa cha ukerewe kama miezi miwili kuna miamba inaogelea kwa style mbalimbali ambazo hata olympic sijawahi kuona watu kama hao tusingekosa medal , mchezo wa kutupa mkuki nimesikia sina uhakika kuna kabila hapo manyara mambo ya mkuki na mishale wanajua kuliko kusoma na kuandika kama ni kweli kwanini wasitafutwe wakawa trained ?Nchi ina wananchi zaidi ya milioni 60+!!! Halafu katika mashindano yenye wanamichezo 10,000! Inapeleka wanamichezo 7 pekee!! Hivi nchi yetu ina kipi cha kujivunia?
Mheshimiwa Gerson Msigwa, wewe umekuwa Katibu Mkuu kwenye Wizara ya Michezo, Vijana na Utamaduni! Jambo hili unaona liko sawa kweli!! Miaka nenda Katibu Mkuu wa TOC ni Filbert Bayi!! Hivi hakuna watu wengine wenye mawazo mapya, wa kuongoza hiyo kamati ili tuone mabadiliko?
Bila kusahau undugunization a.k.a nepotism na mambo ya uchama kwa kwenda mbele.Waogeleaji na wanariadha wanaowakilisha kila mashindano ni hao hao unategemea nini kipya kitatokea ? Hao ni watalii waliovaa jezi .
Kinachodidimiza michezo ni kuwa na viongozi wabovu wanaoangalia maslahi Yao na matumbo Yao tu .
Mihambo si jina lakiSukuma?Jana nimeona dada mmoja akipeperusha bendera ya ujerumani kwenye mbio za mita 1500 anaitwa MALAIKA MIHAMBO
Ndio na mimi nikapata mashaka ukizingatia ni asili yetu, na aliibuka mshindi wa pili.Mihambo si jina lakiSukuma?