Watanzania acheni unafiki, ina maana kifo cha Ivan kimewauma kuliko Dogo Mfaume?

mkono mtupu aulambwi.ukifa maskini uwezi kuumiza watu
 
Mmoja alikuwa supplier mmoja user .....Unadhani watuwataumia kwa msiba wa nani?
 
Upuuz mtupu ndugu yangu akifa zari atanipa pole au... Bora hata wale watoto hizo ni shobo ambazo akimalza mcba anawapa mapovu !
 
Naona umeamua kuwapangia watu namna yakutumia hisia zao. RIP Ivan
 
Kama ukimwona MTU Mara nyingi mtandaon or wherever unaumia saanaaa tu hata kama hujawahi kumwona live

Kuna watu tuko nao kwenye magrup mbalimbali hujawahi muona hata SK moja

Lakin akipata tatizo unamhurumia saanaa


Mie niliumiaga sana kifo cha amina chifupa yaan SK hiyo ucngz ulipaaa kabisa lakn sikuwah kimwona live hata SK moja
 
Dogo Mfaume alikuwa na nani?
Thamani ya mtu ni vile alivyo navyo, ndiyo maana hata wewe hukuleta uzi wa masikitiko kwa huyo dogo, mwenye nacho ataongezewa. Huu ni ukweli mchungu, huna kitu huna chako, huna rafiki wa kweli wala nini!!
Ongea yote,thaminisha kwa kiwango lkn kumbuka kwa Mungu wote sawa.
 
Hayo ni mapenz bnafs kati ya mtu na mtu. Huwez lazmisha watu wote wampende flan ksa n Mtz. Kuna 7bu nyng ikiwemo social influence.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…