Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Mkuu umeua aisee.Msiba wa tajiri unahudhuriwa na mpaka hata ambao hawakuwahi kumuona au kumjua siku za uhai wake..
Wakishapata bio fulani kafariki, yule mwenye sijui Hotel gani, sijui mwenye biashara gani alikuwaga anatembea na Vogue, VX V8 basi kila mtu atajipeleka msibani kwenda kuona ufahari na ibada na mahubiri marefuuuu.. Maskini akifa mambo yanaenda fasta fasta tu ufukiwe mambo yaishe..
Too sad aisee..
acha tu alikua kama mayweatherHahahaaaa.... Jamaa kala bata ni hakuna.. Wacha akapumzike..
Na kweli [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kama wanawaonea marehemu wivu nao wafe basi tuwalilie [emoji1]
Una uhakika gani kama huyo unaemlilia alikua msafi wa hilo?? Je kama alikua muuzaji..
Tena si hayo tu tajiri hugawa ajira tajiri uwa ni mmoja wa watu waliowazidi masikini ktk suala la kuchangia taifa ktk nyanja ya kodi, lkn pia matajiri ni wachache kuliko masikini hiyo inamaana utajiri ni kipaji maalumMsiba wa tajiri unahudhuriwa na mpaka hata ambao hawakuwahi kumuona au kumjua siku za uhai wake..
Wakishapata bio fulani kafariki, yule mwenye sijui Hotel gani, sijui mwenye biashara gani alikuwaga anatembea na Vogue, VX V8 basi kila mtu atajipeleka msibani kwenda kuona ufahari na ibada na mahubiri marefuuuu.. Maskini akifa mambo yanaenda fasta fasta tu ufukiwe mambo yaishe..
Too sad aisee..
Sijakuelewa bosi, unamaanisha nini?Tofautisha kufa na kurafiriki