Watanzania amkeni msitegemee kazi za Serikalini!

Watanzania amkeni msitegemee kazi za Serikalini!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tanzania kama Dunia inaondoka kwenye jela la kutegemea kazi za serikali. Kazi za serikali zunatakiwa ziwe za muhimu tu lakini kumekuwa na vijana wengi wanasubiri seeikali iwape kazi.

Nawajulisha amkeni na tafuteni kazi kwenye kampuni binafsi, anzisheni miradi kama kilimo au katafute kazi nje lakini uki subiri serikali utakufa masikini miaka ijayo. Teknologia itapunguza kazi za serikali na makampuni mengi yatakuwa yanaendeshwa kibiashara zaidi miaka ijayo.

Serikali inatakiwa kupinguza matumizi sio kuongeza hivyo wataleta teknologia ambayo itapunguza kazi nyingi sana mfano wizara tofauti zinaweza kuwa na accountant pamoja kwasababu teknologia ni moja na imekuwa sana ofisi zinaweza zikawa hizo hizo.

Kazi ya secretary sio muhimu wakati kuna AP za simu na computer za kufanya kila kitu. Hivyo kazi nyingi zitakuwa za miradi kama ujenzi n.k . Lakini kwenye kilimo na viwanda vidogo kuna uwezekano mkubwa kupata kazi.

Cha kushangaza vijana nao ni slow sana siku hizi unaweza kufanya kazi ya nchi nyingine mfano kuna kazi nchi za ulaya zinatoka kwa watu India au Ghana sasa kwanini vijana wetu wanashinda kwenye mitandao badala ya kutafuta kazi!
 
Elimu tegemezi hufanya watu watarajie ajira tegemezi... Elimu yetu haina "elimu ambato" hivyo utegemezi wa utumwa wa kuajiriwa kwa wahitimu hautakoma hivi karibuni.

Unatakiwa kurudi mtaani usote ili usitusumbuesumbue... wape njaa wawaze kutafuta chakula... watenganishe ili uwatawale... wape umaskini ili wakuabudu... wanyime elimu bora ili wakunyenyekee...
 
Tushaamka.

Ndo maana mimi nafanya kazi ya kujitolea kuandika nyuzi JF
 
Ukiamua kuwa mfanyabiasha TRA wanakubambikia kodi kubwa ya kufa mtu. Ukishindwa kulipa wanapora benk account yako na kukuacha hohe hahe. Sheria kandamizi ZINALIANGAMIZA Taifa.
Elimu tegemezi hufanya watu watarajie ajira tegemezi... Elimu yetu haina "elimu ambato" hivyo utegemezi wa utumwa wa kuajiriwa kwa wahitimu hautakoma hivi karibuni..
 
Ukiamua kuwa mfanyabiasha TRA wanakubambikia kodi kubwa ya kufa mtu. Ukishindwa kulipa wanapora benk account yako na kukuacha hohe hahe. Sheria kandamizi ZINALIANGAMIZA Taifa.
Kama vile dhulma ilivyoshindwa kuibeba awamu ya kwanza ndivyo dhulma ambavyo haiwezi kuibeba awamu yoyote... wanapandikiza watu woga na nidhamu bandia... kodi ni uzalendo, kodi sio uadui... maajabu ni polisi kushiriki ukusanyaji kodi kisha tutarajie urafiki na watoza kodi!!!? Elimu ya uraia ifundishwe kwa wote... watu waijue katiba ili wazijue haki zao...
Lakini ni kama haitakiwi...
 
Tanzania kama Dunia inaondoka kwenye jela la kutegemea kazi za serikali. Kazi za serikali zunatakiwa ziwe za muhimu tu lakini kumekuwa na vijana wengi wanasubiri seeikali iwape kazi. Nawajulisha amkeni na tafuteni kazi kwenye kampuni binafsi, anzisheni miradi kama kilimo au katafute kazi nje lakini uki subiri serikali utakufa masikini miaka ijayo...
Kampuni binafsi zipi Mkuu? Hizi zilizofungwa au mpya zijazo?
 
Tanzania kama Dunia inaondoka kwenye jela la kutegemea kazi za serikali. Kazi za serikali zunatakiwa ziwe za muhimu tu lakini kumekuwa na vijana wengi wanasubiri seeikali iwape kazi.

Nawajulisha amkeni na tafuteni kazi kwenye kampuni binafsi, anzisheni miradi kama kilimo au katafute kazi nje lakini uki subiri serikali utakufa masikini miaka ijayo. Teknologia itapunguza kazi za serikali na makampuni mengi yatakuwa yanaendeshwa kibiashara zaidi miaka ijayo.

Serikali inatakiwa kupinguza matumizi sio kuongeza hivyo wataleta teknologia ambayo itapunguza kazi nyingi sana mfano wizara tofauti zinaweza kuwa na accountant pamoja kwasababu teknologia ni moja na imekuwa sana ofisi zinaweza zikawa hizo hizo.

Kazi ya secretary sio muhimu wakati kuna AP za simu na computer za kufanya kila kitu. Hivyo kazi nyingi zitakuwa za miradi kama ujenzi n.k . Lakini kwenye kilimo na viwanda vidogo kuna uwezekano mkubwa kupata kazi.

Cha kushangaza vijana nao ni slow sana siku hizi unaweza kufanya kazi ya nchi nyingine mfano kuna kazi nchi za ulaya zinatoka kwa watu India au Ghana sasa kwanini vijana wetu wanashinda kwenye mitandao badala ya kutafuta kazi!
Acha siasa basi! Ungetoa na wewe ushuhuda wako hapa, ingependeza sana. Isije ikawa unawataka Watanzania tuamke, kumbe wewe mwenyewe umelala fofofo! Au unafanya kazi BOT kupitia kimemo cha mzazi waki!

Unaufahamu ugumu wa kuishi mtaani bila ajira? Unafahamu namna ilivyo ngumu kupata kazi kwenye hayo makampuni binafsi? Unaifahamu vizuri mitaala yetu wewe ya elimu na namna isivyo muandaa mhitimu kujiajiri?
 
Back
Top Bottom