Watanzania bado hawajui maana ya demokrasia wanatakiwa waelimishwe

Watanzania bado hawajui maana ya demokrasia wanatakiwa waelimishwe

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Mimi nilijua demokrasia ni nini baada ya miaka fulani ya nyuma sana kufuatilia primaries za both republican and democratic

Kwanza unajiuliza hawa wote wanatoka chama kimoja kwanini wanapondana hivi hadi mambo ya kifamilia, it very nasty lakin wao wanaona ni kawaida na wanaita democrasia na huwezi ona wananchi wakiwaponda

Siku za karibuni kumekua na harakati za uchaguzi wa mwenyekiti wa chadema amejitokeza Tindu lisu ila wako baadhi ya CHADEMA wamemponda Lissu

Wako baadhi ya wananchi wananchi wameanza kuwaponda wanaomponda Lissu wengine wanaenda mbali
wanasema ni bora CCM iendelee kutawala hawa wote kwangu mimi ni wajinga na hawajui democrasia ni nini

Unapogombania nafasi kwenye siasa kupitia democrasia unatakiwa ujue yafuatayo;-
  • Siasa ni mchezo wa kumchafua mwenzako ili wewe uonekane bora
  • Ni wajibu wako kujibu mashambulizi ya ambaye unaogombea naye
  • Kwenye siasa haushindani tu na mpinzania wako bali unashindana na wapambe wake, marafiki zake, chawa wake, mechepuko yake na familia yake
  • Siasa ni kazi ya kipato kama zilivyonyingine kila mtu anaingia anajua atanufaikaje na mara nyingi ni siri kwake
  • Siasa ni kama mchezo wa mpira uchaguzi ukiisha mnashikana, na kupongezana na maisha mengine yanaendelea
  • Usiwe mtu wa kuweka vinyongo na chuki ukishika madaraka utawaumiza watu kwenye siasa kuwa mtu wa kupuuzia mtu
  • Kwemye siasa cheo hetewi mezani unatakiwa ukipiganie na ukikipata ukilinde kwa gharama kubwa sana
  • Kwenye siasa kutumia rushwa na uhuni mwingine ili mtu kushinda ni jambo la kawaida wala usishangae
Watu wajifunze wanaompinga lisu wanahaki hiyo na ndo democrasia yenyewe kama unawaponda wanaompinga lisu badi uelewa wako wa siasa ni mdogo
 
Hiyo ni Domokrasia👇🏿



Hiyo sio Demokrasia.

Watanzania sio mbumbumbu hivyo.

Hatahivyo shukurani na maoni yako.
Kama unataka ukigombania watu wote wakuimbie mapambio ya kukusifia unasafari ndefu sana

Siasa ni mashindano kama yalivyomengine unatakiwa uonyeshe wewe ni bora na sio kutaka kuonewa huruma

Siasa ni maslai huwezi ngangana na jambo lisilo na maslai kwako utakua mjinga navyosemea maslai sio fedha tu, direct bali kuna connection ni rahisi sana ukiwa kwenye siasa kupata connection, uweke legacy itakayokumbukwa na vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom