MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Na MisukuleHalafu wote yanga
Mambumbumbu mnajazama utahiraNa Misukule
Tuliza kishundu hicho dada mkubwaMambumbumbu mnajazama utahira
Hivi hii nchi haina mabeki wengine wa pembeni zaidi ya Shomari na Mohamed Hussein?Watajwa wote hapa juu hawana Mafanikio ya Kujivunia na Wachezaji kuifunza kutoka Kwao cha Kushangaza eti na Wao ni sehemu ya Benchi la Ufundi la Taifa Stars kwanini Congo DR wasiupige mwingi na Kutufunga Goli Tatu nzuri.
Hivi ni nchi gani au Kocha gani duniani mwenye Akili timamu anaweza Kumpanga Beki Mbilikimo Dickson Job kucheza namba Nne na Beki anayetumia Nguvu na Upumbavu mwingi kuliko Akili kama Bakari Nondo Mwamnyeto kuwa Beki wa mwisho namba Tano?Hivi hii nchi haina mabeki wengine wa pembeni zaidi ya Shomari na Mohamed Hussein?
Ulitaka awe nani?Hivi ni nchi gani au Kocha gani duniani mwenye Akili timamu anaweza Kumpanga Beki Mbilikimo Dickson Job kucheza namba Nne na Beki anayetumia Nguvu na Upumbavu mwingi kuliko Akili kama Bakari Nondo Mwamnyeto kuwa Beki wa mwisho namba Tano?
ManaraHivi hii nchi haina mabeki wengine wa pembeni zaidi ya Shomari na Mohamed Hussein?
Yanick Bangala na Henock Inonga sawa?Ulitaka awe nani?
Watajwa wote hapa juu hawana Mafanikio ya Kujivunia na Wachezaji kuifunza kutoka Kwao cha Kushangaza eti na Wao ni sehemu ya Benchi la Ufundi la Taifa Stars kwanini Congo DR wasiupige mwingi na Kutufunga Goli Tatu nzuri.
Hivi hii nchi haina mabeki wengine wa pembeni zaidi ya Shomari na Mohamed Hussein?