Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

Ujinga ni pale unauliza swali hadi unajijibu na bado unasumbua tu! You've already said huenda picha imetengenezwa na mkenya mwenye ako na shule TZ. Does that change the fact that the poster is in Tanzania?
Iko hv huku kwetu zipo baadhi ya shule ambazo ni za English medium so kwenye bandiko lao huwa wanaandika wanahitaji mtu ambaye amesoma English medium kuanzia chini kabisa, ss iweje leo liwe tangazo eti waliosoma Kenya wakati hapa kuna shule za English medium zenye gharama kuliko shule za kishua za huko kwenu do you get the point you Kunyan?
 
Iko hv huku kwetu zipo baadhi ya shule ambazo ni za English medium so kwenye bandiko lao huwa wanaandika wanahitaji mtu ambaye amesoma English medium kuanzia chini kabisa, ss iweje leo liwe tangazo eti waliosoma Kenya wakati hapa kuna shule za English medium zenye gharama kuliko shule za kishua za huko kwenu do you get the point you Kunyan?
Kuna number za simu za kitanzania zimeandikwa hapo chini. Piga simu uulize haya maswali yote. I hope majibu utayapata yakukuridhisha
 
Kuna number za simu za kitanzania zimeandikwa hapo chini. Piga simu uulize haya maswali yote. I hope majibu utayapata yakukuridhisha
Yn ww ni fala kabisa, u failed to figure out that hilo tangazo lipo Kenya na ni propaganda, eti "tunatangaza nafasi za kazi ya ualimu kwa Watz" kwahiyo hapo ni wapi? Then "shule ipo Dar es salaam"

Fala kweli ww [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji3545][emoji3545][emoji90][emoji90][emoji90]

Wakenya ni mavi kabisa.
 
Wa-Tanzania tujifunze Kingereza au ki-franch vile au lugha nyingine yeyoyte ya mataifa makubwa kifasaha kwani ni moja ya Taaluma vile vile unaweza pata kazi kirahisi sn na kujiamini vilivyo.

Leo hii watu wanapiga hela CHINA huko kwa kufundisha English language, ni kweli usio pingika Hatujui lugha ya Kingereza kwa ufasaha.

Mzazi ukiweza peleka mwanao shule za English Medium au hata International school mtu yoyote anayesema Kingereza hakina maan ujue anawadanganya .Kijana anamaliza shahda yake ya kwanza hata kufanya interview kwa lugha ya Kingereza hawezi sasa unajiuliza hawa watu huwa hawafanyi presentation huko mavyoune
Wanafanyaje research zao kwa lugha gani?
 
The details are in the picture bongolala. What more evidence do you need apart from the written words and even the Tanzania phone numbers? Ama ulitaka picha itoke black and white ndio tujue hapo ni Tanzania?

Wewe badala ya kuwa na kichwa, kumbe una embe. Kwa hiyo wewe kuona neno Dar es Salaam, tayari liko Tanzania.
 
Kuna number za simu za kitanzania zimeandikwa hapo chini. Piga simu uulize haya maswali yote. I hope majibu utayapata yakukuridhisha

Kwani hapo umeona +255 unavyosema namba za kiTanzania?
 
Kwani Dar es Salaam iko Ethiopia?

Wewe badala ya mabega yako kubeba kichwa yaani akili. Umebeba embe kubwa.
Hakuna mtu anayebisha kuhusu hayo maneno. Swali ambalo unajibu. Tuoneshe hilo tambala kama liko Tanzania.
 
You only need that code when you are calling from outside Tanzania. Usijifanye hujui hili

How do you know if those are Tanzanian numbers?
Coz I in on of Scandinavian countries using the nr of the same nature.
 
Naona umeamua kutokelezea na akili za makada was sisiemu. Bure kabisa, eti uchumi wa Kenya haukui? Tena Kenya inaenda kuwapiga double kwenye GDP. Miradi mmetekeleza mingapi hadi ikaisha ukilinganisha na Kenya? Umesahau zile 1.5T alizotafuna jiwe? Hebu rudi Lumumba ukaimbe sisiemu mbere kwa mbere ukimsifia Jiwe kwa miradi yake mikubwa ya maendeleo kule jamhuri mpya ya Chato.
Ccm tena [emoji1787], mkishindwa hoja mnaunganaga na nyumbu, na bado, uwekezaji wa chato haujafikia hata robo ya uwekezaji ulofanyika dodoma, etc. Ila sababu ni nyumbu, sishangai mkipataja taja, chato.
 
How do you know if those are Tanzanian numbers?
Coz I in on of Scandinavian countries using the nr of the same nature.
So hapo ni one of those Scandinavian countries?? 😂 😂 Kiswahili kitukuzwe
 
Wewe badala ya mabega yako kubeba kichwa yaani akili. Umebeba embe kubwa.
Hakuna mtu anayebisha kuhusu hayo maneno. Swali ambalo unajibu. Tuoneshe hilo tambala kama liko Tanzania.
Basi liko Kenya 😂 😂 Happy now?
 
You'll also needed to prove if the place is really in Kenya.
I understand you. You really don't want to accept this but your denial won't change anything bongolala. Tanzanians study in Kenya right from primary school level. Mimi nimesoma nao primary and secondary schools na kuna wengi tu pia wako colleges huku. I remember I had a very good friend in high school from Shinyanga named Maduhu. It's not my duty to force or convince you to accept this but facts will always remain facts. Tunasomesha walimu wenu and we'll continue doing so as long as they choose to come here
 
Liprofesa lilitema madini mpaka manyang'au yakabaki yanapiga makofi huku yameduwaa.... haha

The level of that Kiswahili was pure gold!

Minyang'au ilipagawa venye profesa alivyoipora na kuitawala "show" nzima ya BBI.
EtKFGAlXAAElSiP.jpeg

Mkuu unajua ipo tofauti ya mtu aliyehudhuria Chuo na anayeenda kupata masomo.

Sasa ikiwa hawa ndio wasomi wenu na je Makajamba wa Buza wako vipi upstairs?
 
Wa-Tanzania tujifunze Kingereza au ki-franch vile au lugha nyingine yeyote ya mataifa makubwa kifasaha kwani ni moja ya Taaluma vile vile unaweza pata kazi kirahisi sn na kujiamini vilivyo.
Tunakujua wewe ni nyang'au.

Hata Kiswahili chako kimekusaliti.
 
Acha ufala wewe nani NYANG'AU wewe unaweza kunifundisha kiswahili au mm ndio nikufundishe lugha ya kiswahili nyie watu mlio toka maporini mna taabu sn maan lugha fasah ya kiswahili chenyewe hamkifahamu.
 
Back
Top Bottom