Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TTCL hizo GB 3 na 500 inabakiNiseme wazi hili jambo wabongo tumetelekezwa hatuna mtu wa kukemea unyama unaofanywa juu yetu.
Tigo wamebadilisha vifurushi kwa wiki elfu tano inakuwa gb 2.7 badala ya gb 3 na watu wanaotakiwa kututetea wamenyamaza kabisa.
Dah nawaza nakosa majibu
Tena umeongea kweli yaani hata wasomi kabisa wanakimbilia siasa kweliMtetezi yupo sema hayupo upande wako.
Yaani ukiweza kuvuna pasipo kupanda fanya hivyo la hauwezi vumilia na familia yako mpaka siku unawaachia dunia waendelee.
Ushauri wangu kwako, na wewe pambana uingize kizazi chako kwenye siasa, kutusua ni simple sana, mimi najuta mzee wangu wa uliwatan wake hakunipa nafasi kwenye siasa mpaka namfunika shuka ya mwisho ya udongo.
Hao wanaokukamua ndio wenye hisa huko, wewe unawataka wakutetee dhidi yao! Athubutuu.Niseme wazi hili jambo wabongo tumetelekezwa hatuna mtu wa kukemea unyama unaofanywa juu yetu.
Tigo wamebadilisha vifurushi kwa wiki elfu tano inakuwa gb 2.7 badala ya gb 3 na watu wanaotakiwa kututetea wamenyamaza kabisa.
Dah nawaza nakosa majibu
tatizo ni pale walipofikiri kila anae ingia kwenye internet basi anaenda kutazama ngono bila kujali kuna wanaoingia kusoma na kufanya biashara,Niseme wazi hili jambo wabongo tumetelekezwa hatuna mtu wa kukemea unyama unaofanywa juu yetu.
Tigo wamebadilisha vifurushi kwa wiki elfu tano inakuwa gb 2.7 badala ya gb 3 na watu wanaotakiwa kututetea wamenyamaza kabisa.
Dah nawaza nakosa majibu
Sasa wote tukiwa wanasiasa kada zingine nani atabaki?Mtetezi yupo sema hayupo upande wako.
Yaani ukiweza kuvuna pasipo kupanda fanya hivyo la hauwezi vumilia na familia yako mpaka siku unawaachia dunia waendelee.
Ushauri wangu kwako, na wewe pambana uingize kizazi chako kwenye siasa, kutusua ni simple sana, mimi najuta mzee wangu ba uliwatan wake hakunipa nafasi kwenye siasa mpaka namfunika shuka ya mwisho ya udongo.