Mkuu Africa kwenye makampuni ya simu hamna soko huria. Ni kama Cartel flanj hivi na bajonga kichiz hela ndefu makampuni yasiwe mengi na wote kwa pamoja wahafikiana kutoza bei.Hili ni soko huria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Africa kwenye makampuni ya simu hamna soko huria. Ni kama Cartel flanj hivi na bajonga kichiz hela ndefu makampuni yasiwe mengi na wote kwa pamoja wahafikiana kutoza bei.Hili ni soko huria
Nilidhani are not yet born?! Ni kama tu ile all that glitters is not gold mara ya kwanza nilidhani are not gold. Muingereza mpuuzi sana yani anatuchanganyaga kichizNi ngumu kupata mtetezi ktk hili japo linajulikana hadi kwa wakuu wote.
Anyway, The beautiful one' is not yet born
Halafu hana cha kupoteza maana anaishia maisha ambayo hajawahi kutawazwa wala kuotaHaya yote yanatokea kwa sababau kuna kiongozi mkubwa kaupata uongozi kwa kurithi.Hivyo haoni haja ya kuwa upande wa wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza kuamini ila bado si dawaZamani nilikuwa naumia kama wewe.
Badae nikaona nisitoe huduma zote kwa kampuni 1 tu.
Internet nachukua Smile, Dakika nachukua Vodacom na sms nachukua Tigo.
Smile kidogo wapo stable kwenye huduma zao. Kwa mwaka wanaweza badilisha vufurushi mara 1 au 2. Na wanatoa offer kibao tu.
Bado hujashtuka kwann mkuu?Dah nimeshangaa sana, maana mm ndiyo kifurushi changu nanunuaga hicho. Nimejaribu kununua jioni hii nakuta 2.7gb nikachoka nikawa sina namna ikabidi ninunue tu kishingo upande. Yaani wanabidilisha tu wanavyojisikia bila hata kutoa taarifa, hii mbaya sana. Kwa mwendo huu tutatoboa kweli, huku matozo kila mahali, huku mavifurushi
Ndg "Maghayo" kwanza naambiwa maana ya avatar name yako ni "Dharau" okay twende kwa mada.Sasa wote tukiwa wanasiasa kada zingine nani atabaki?
Ni kampuni zote tu balaaaDah nimeshangaa sana, maana mm ndiyo kifurushi changu nanunuaga hicho. Nimejaribu kununua jioni hii nakuta 2.7gb nikachoka nikawa sina namna ikabidi ninunue tu kishingo upande. Yaani wanabidilisha tu wanavyojisikia bila hata kutoa taarifa, hii mbaya sana. Kwa mwendo huu tutatoboa kweli, huku matozo kila mahali, huku mavifurushi
Niseme wazi hili jambo wabongo tumetelekezwa hatuna mtu wa kukemea unyama unaofanywa juu yetu.
Tigo wamebadilisha vifurushi kwa wiki elfu tano inakuwa gb 2.7 badala ya gb 3 na watu wanaotakiwa kututetea wamenyamaza kabisa.
Dah nawaza nakosa majibu
Nimecheka balaaNdg "Maghayo" kwanza naambiwa maana ya avatar name yako ni "Dharau" okay twende kwa mada.
Nimemjibu yule aliyehoji that's why sikuandika "ushauri wangu kwenu" bali (kwako) mean niliye_reply kwake.
Karibu.
Aliyesema hayo hakuna anacholipa kutoka kwenye hela ya mshahara wake na wala kodi wala bima wala nssf halipi na ana mikopo bila mashartiMnalalamika nini situlikubaliana kwamba ambaye anaona hatendewi haki ahamie Burundi? mnaboa sana nyinyi na ndio wale wale mliokua mnasema mama anaupiga mwingi