mimi huna najiunga hata GB50 kwa jero tu .Tungeweza tungekuwa tumefanya hayo
Utetewe na Nani wakati waterezi ndio wenye hisa? Nchi ngumu hiiNiseme wazi hili jambo wabongo tumetelekezwa hatuna mtu wa kukemea unyama unaofanywa juu yetu.
Tigo wamebadilisha vifurushi kwa wiki elfu tano inakuwa gb 2.7 badala ya gb 3 na watu wanaotakiwa kututetea wamenyamaza kabisa.
Dah nawaza nakosa majibu
Leo naona wamepunguza tenaPoleni na inasikitisha sana...
Sababu ni kuongezeka kwa Kodi kwenye vifurushi.tatizo ni pale walipofikiri kila anae ingia kwenye internet basi anaenda kutazama ngono bila kujali kuna wanaoingia kusoma na kufanya biashara,