Watanzania hawana adabu kumsema Rais!

Watanzania hawana adabu kumsema Rais!

we kweli ndio MPUUUZIIII..mimi binafsi naona watu wote huku ndani ya jamii forum tukusamehe bure maana umetumwa kuongea upuuzi kama Makamba. unataka watu wamtukuze hata akifanya makosa, na unaposema sisi ndio tulimpigia kura 2005 inawezekana lakini tunamsema maana alitudanganya.

he used deception kuingia hapo alipo.na unasema inapaswa tusiongee vibaya kuhusu wakuu. how can you talk about the Bible or Quran without mentioning Jesus or God/Allah.

unataka tuweke majina hadharani, Qures, Lipumba, Salim Ahmed na wengine wengi wameweka majina yao, wao wamesimama hadharani na kusema hafai, you idiot.

we kama si mpuuuzi basi ni mjinga..binafsi nimekusamehe mara sabini.mpuuzi
 
Tunaelekea kubaya. China? North Korea? Eritria? Ndie nchi hazina freedom of expression.
Its sad tuna wa Tanzania wenzetu kama huyo.
Kama una akili, angalia nani kati yetu kakubaliana nawewe?
 
Na wewe Mwanakijiji acha kuwapa THANKS wendawazimu hawa. Watajiona wameandika la maana.
nimecheka saaaana mkuu wangu.
unajua ukitaka mambo yakunyookee muogope mpumbavu/mjinga na ujitenge naye.

hawa jamaa wametumwa hapa kuflood jukwaa tusijadili mambo kuntu ili kusemezana na ujinga wao tu. shwain
 
Na shangaa sana Watanzania ni watu waajabu sana, ukimkosoa kiongozi kama unajulikana utatafutwa na atimae kubambikiwa kesi ya kizushi... Mimi ni member kwenye page Obama Facebook, juzi aliwajulisha Wamarekani kuhusu mpango wake wa bima ya afya cha kuchangaza ni kwamba baadhi ya watu walimtukana sana hadi wengine kumuita"shoga" na matusi mengine ya kutisha, nika jiuliza ingekuwa ni hapa Bongo sii ungetafutwa kwa kumdhalilisha rahisi? nilicho kigundua kwa wenzetu ni kwamba kila mtu ana uhuru wa kuongea.
 
Good job naona makombora ya JF yanagonga pale panapotakiwa. Samora alikuwa anasema Aluta continua, ukishakuwa na rais mjinga kama huyu alivyo nchi haiwezi kuendelea isipokuwa kuwalinda Mafisadi papa ndani ya Chama Cha Majambazi.


Hututatishika na mafisi ambayo yananyemelea mkono wa binadamu na kufikiri utaanguka.
 
kaka/dada samahani mie ni mtanzania mwenyeji wa iringa kihesa semtema kribu na chuo kikuu tumaini, mkazi wa maeneo hayo natoka familia ya wastani kwa kipato wenye uwezo wa juu kufikiri na wenye uwezo wa kuthubutu kufanya mambo yasiyo tarajiwa. siogopi yajayo nachukia yaliyopita mabaya kwangu siku ni leo na bora kwa kuijadili kesho jana imekwenda, majungu si mtaji ndo tabia yangu nachukizwwa na wadandia hoja, kwetu wakubwa wanaheshimiwa na msingi wa dini yangu hauniruhusu kumsema mkuu wa watu wangu, ni msingi huo unanituma kuwaheshimu watumuishi wa Mungu Mfalme ni mtumishi wa Mungu na upanga na haubebi bure ni haja yangu kumheshimu atanikirimia na ni adhabu kwangu nikimletea jeuri.
tusihoji uraia tuangalie ukweli wa mantiki.

Wacha kamba wewe unawavunjia heshima wakina Mkwawa, ungekuwa mhehe wewe leo hii tungesikia huyo mwenyekiti wa Chama Cha Majambazi amejirekebisha.

Uliza hapo Kihesa au nenda Kalenga wakusimulie nini kiliwapata Wajerumani au nenda kaangalie majengo ya makumbusho ya Mkwawa wakusimulie, Wajerumani walipata kipigo kiasi gani ili sisi tuwe huru. Wewe ni mwenyeji wa Bagamoyo nani asiyekufahamu. Kula tu hiyo fweza ya walipa kodi lakini itakupalia very soon. I$%di*&ot.
 
kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu.
pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakay M. Kikwete kwa juhudi zake z akila siku katika kulipeleka taifa hili kule tunatakiwa japo ni wale tu wenye lensi kamili katika macho yao na ambao kichwani kuna ubongo wanaweza kulion hili.
tatu nimpe pole mzee wangu rafiki Yusufu makamba kwa kuwa sasa amekuwa kama jalala la hata watoto wadogo kumsema watakavyo. nadhani tungetumia uhuru huu kuelez aumma athari za sera kam agenda 50-50 na uzazi wa mpngo ingekuwa bora.
tatu nawapa pole wana blog hii walioigeuza kambi ya kupigia soga za siasa za chadema na kuwa msumari wa moto kwa ccm kwa hapo tumepoteza mwelekeo.
leo nakuja na hoja amabyo nitaitambulisha tu kisha nitaiacha hewani. hivi ni wapi na ni nchi gani ambayo watu wake wana uhuru wa kumsemea lolote mtawala wa nchi. najua ni uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema mara hosea, mara mwanyika, mara oooooh fisadi fulani kama tunaishi nchi ya KICHAA iliyo katika tamthilya ya MFALME JUHA. hakuna cha wasomi wala wakulima wote tu tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema na ndiyo maana wameficha majina yao. nadhani ingekuwa ni vema kama tungejuana kwa majina kamili na kule tunaishi au kufanya kazi badala ya haya mwanakijiji, mpenda nchi na mengine kama hayo.
hakuna haja ya kuwa na watoa maoni ambao wameficha nyuso zao, ni watu wasio na ujasiri, ni sawa na shule ya msingi ambako darasani kuna kijana mkorofi lakini pia ni mbabe na msumbufu darasani, ikifika mwalimu wa zamu anauliza ni nani mkorofi kila mmoja huinama na kutaja jina la yule mkorofi ilimradi tu jina litajike, si una ujasiri wa kutaja? simama watu wakuone sema ni JUMA mkorofi naye akuone ajue hhakika huyu ni shujaa kanitaja.
huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote kwa vile Lipumba kasema, ikiwa kikwete hafai kugombea 2010 basi akigombea msimpe kura msiwe vibaraka wa wale wanaowatumikisha pasipo kujua.
blog hii iliaanza nyakati za uchaguzi na miongoni mwa memebrs wa humu 90% walitoka kule na ni wengi waliompigania kikwete achagulike kutoka kura za maoni, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete lakini leo hii ni rais wa jamhuri ya muungano, biblia inasema usiwasemee vibaya wakuu wa watu wako. Kikwete ni mkuu wa watu wangu watanzania hata siku moja siwezi kumsemea vibaya. MNA LAANA NYIE MNAOMSEMA VIBAYA RAIS KILA KUKICHA NA LAANA YENU HAITAPONA HATA VIZAZI VYENU VITATU NA VINNE. tafadhali sana najua mna jazba na RAIS lakini isiwe kila kukicha mnatafuta kumgombanisha na wananchi kama hawafai basi subirini 2010 msimchague.
na hao kina lipumba na slaa wanona hafai basi wasubiri 2010 wagombee washinde hapa jamani ni jukwaa la mawazo huru ya kujenga taifa hili si jukwaa la kujadili maamuzi ya Rais yapi afanye, yapi alitakiwa afanye na nani na nani wawajibishwe kama mnataka kasomeeni sheria na mfungue mahakama zenu na muanzishe majeshi yenu ya polisi muwakamate hao mnaotaka wakamatwe. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Nisaidie mkubwa, lete ilani ya 2005 (ahadi za rais zote) hapa. Tuta tick moja baada ya nyingine, ni ipi ahadi kafanikisha. Kama kafanikisha more than 50% ya ahadi zake, nitawaomba wana JF tuungane kumpongeza. Lakini, i stand corected on this one, nina uhakina kwamba ameweza less than 10% of what he promised na hii itakua sababa tosha ya wewe kukataa kuanika ilani hapa janvini. LETE ILANI KAKA WE VERIFY!
Remember, Tz is a democratic country, sio Russia, China, Ethopia, Egypt etc ambako wanataka wananchi waimbe mbeleko ya kupongeza utawala hata wakati wanaboronga.
 
Nisaidie mkubwa, lete ilani ya 2005 (ahadi za rais zote) hapa. Tuta tick moja baada ya nyingine, ni ipi ahadi kafanikisha. Kama kafanikisha more than 50% ya ahadi zake, nitawaomba wana JF tuungane kumpongeza. Lakini, i stand corected on this one, nina uhakina kwamba ameweza less than 10% of what he promised na hii itakua sababa tosha ya wewe kukataa kuanika ilani hapa janvini. LETE ILANI KAKA WE VERIFY!
Remember, Tz is a democratic country, sio Russia, China, Ethopia, Egypt etc ambako wanataka wananchi waimbe mbeleko ya kupongeza utawala hata wakati wanaboronga.
http://www.ccmtz.org/ilani/ilani.pdf
 
Mwingine huyu !!!! Utawaona wataibuka wakina Mzindakaya wengi tu sana , Hii tabia ya kumsifu Kikwete kwenye nyakati hizi za maandalizi ya uchaguzi naona inakuwa kama fashion ya kujaribu kumshawishi RAIS awakumbukeni..!!Kwa kweli watu wa jinsi hii wanakatisha tamaa sana !!!!

Ahsante sana Mkuu kwa mchango wako mzuri. Nawaona wanaotaka kumtetea Kikwete pamoja na kuwa hakuna analostahili kutetewa kutokana na utendaji wake mbovu wakiongezeka kila kukicha hapa jamvini ili kumfagilia katika safari ya kuelekea October 2010. Kweli inakatisha sana tamaa.
 
Kwa hiyo unamaanisha Kikwete kafanya mabaya tu siyo.Mbona hakuna zuri linaloandikwa kuhusu Kikwete.Jamii forum ni forum ya majungu matupu.Mtapiga makalele na CCM itakuwa dume lenu muda wote.
 
Kwa hiyo unamaanisha Kikwete kafanya mabaya tu siyo.Mbona hakuna zuri linaloandikwa kuhusu Kikwete.Jamii forum ni forum ya majungu matupu.Mtapiga makalele na CCM itakuwa dume lenu muda wote.

Watu kama nyinyi hamna hata uwezo wa kuchambua mambo, Kikwete kafanya zuri lipi tangu aingie madarakani!? Ahadi zake za maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana, Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya, kuipitia tena mikataba ya madini ili iwe na maslahi kwa Watanzania na Mabilioni ya shilingi yote ni sifuri kabisa Mafisadi wote bado wanapeta tu sasa sijui ni zuri lipi ambalo wewe unaliona limefanywa na Kikwete. Watu kama ninyi mnapiga makofi bila hata kujua mnapiga makofi kwa Kikwete kwa lipi wakati nchi inaangamia....Oh! Well baadhi ya Watanzania ndivyo walivyo wataichagua CCM daima hata kama nchi haina hata tone moja la maendeleo. Maskini Tanzania!
 
Back
Top Bottom