Watanzania hawawezi kuandika

Watanzania hawawezi kuandika

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
4,950
Reaction score
10,977
Moja kwa moja kwenye hoja yangu

Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.

Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).

Shida ya wasomi wetu sio kwamba hawatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila hata kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.

Hili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi hawawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic wanazoandika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.

More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
 
Awawezi, ata, awatambui, wanazoabdika.

Hayo nimakosa baadhi Kwenye uandishi wako wa maada uliyoleta hapo juu.

Ukiwa unafanya ukosoaji jitahidi angalau ukidhi usahihi angalau wa 95% yakile unachokosoa.

Wewe pamoja na sisi watanzania unaotuzungumza wote hatujui kuandika vizuri.

Punguza kukurupuka.
 
Awawezi, ata, awatambui,
Academic writing, logical writing, argumentation writing; is not about misspelling (grammar matters) but logic of the argument is foremost.

Shida ni kwamba wengi wetu hatuna uelewa wa kujenga hoja kuonyesha position yetu given the global understanding.

Uwezi kujisbdikia upuuzi tu kutoka kichwani kwako without academic justification or understood practices.
 
Wewe mwenyewe heading yako umeandika awawezi badala ya hawawezi.

Kuna makosa mengi sana ya uandishi kwenye uzi wako mkuu.
That’s not the essence of writing ability (it’s grammar) not the measure of presenting an argument as accepted academically.

Nakuletea mfano wa hovyo kwa watu wanao tafuta tuzo kwenye jukwaa lao (nitakae mleta anune tu).
 
SIO ata ni hata >> ongeza h mbele
nini uwezi
SIO uwezi ni huwezi >> ongeza h mbele
sio kwamba awatambui
SIO awatambui ni hawatambui >> ongezea h mbele
watu wengi awawezi kuandika
SIO awawezi ni hawawezi >> ongezea h mbele

Pole sana Mkuu na hapo tumechambua kidogo tukichambua sana hili Andiko lako hata HICHO kingereza utatoka na 0.5 out of 10
 
That’s not the essence of writing ability (it’s grammar) not the measure of presenting an argument as accepted academically.

Nakuletea mfano wa hovyo kwa watu wanao tafuta tuzo kwenye jukwaa lao (nitakae mleta anune tu).
z
Moja kwa moja kwenye hoja yangu

Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.

Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).

Shida ya wasomi wetu sio kwamba awatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila ata.kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.

Ili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi awawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic topic wanazoabdika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.

More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
Mkuu wewe mwenyewe unaonekana ni mtupu kwenye medani za uandishi jifunze kwanza wewe ili uwe mwalimu na mkosoaji mzuri vinginevyo kaa kwa kutulia
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu

Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.

Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).

Shida ya wasomi wetu sio kwamba awatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila ata.kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.

Ili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi awawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic topic wanazoabdika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.

More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
Hata wewe mwenyewe umefanya makosa katika uandikaji wako hapa rudia kusoma utagundua!
 
That’s not the essence of writing ability (it’s grammar) not the measure of presenting an argument as accepted academically.

Nakuletea mfano wa hovyo kwa watu wanao tafuta tuzo kwenye jukwaa lao (nitakae mleta anune tu).
Uandishi wa hovyo usiofuata kanuni za uandishi unaweza kufanya hata ulichokiandika kikawa hakina maana kwa wasomaji,uandishi wa hovyo unaweza kufanya ukashusha thamani yako kwa kiasi fulani,

Habari sahihi huwasilishwa kwa uandishi sahihi,

Kingereza kingi ila unarudia makosa yale yale tu.
 
IMG_7410.jpeg


Siwalazimishi kuamini hiyo dissertation marking yangu amini usiamini nimewafyatulia maneno 15,000 kwa week tatu tu wazungu.

Iła naamini majungu tu kwa sababu ata lecture zenyewe nilikuwa siendi vinginevyo ile kazi ni 90%+.

Sasa unajua shughuli unayotakiwa kufanya hadi wazungu wakupe A dissertation ata hiyo ya 70%.

Mie sio mzaha mzaha mjue, hiyo attendance nikwamba lecture zenyewe nilikuwa siendi.
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu

Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.

Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).

Shida ya wasomi wetu sio kwamba awatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila ata.kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.

Ili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi awawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic topic wanazoabdika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.

More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
Mmefunga shule, sasa mtandaoni vurugu tupu.
 
Back
Top Bottom