Watanzania, hivi hamjajua tatizo ni Wabunge na si Mwigulu?

Watanzania, hivi hamjajua tatizo ni Wabunge na si Mwigulu?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Watu wa kulalamikia ni walenwapiga makofi kule Mjengoni wale ndio tatizo kubwa sana nchi hii, na awu hii walivyo jazana kule sasa ndio balaa tupu.

Naona watu wanamulaumu sana Mwigulu, sijaona kosa la jamaa, bali kuna wale wapiga meza mkofi wale ndio watu wa kulaumu.

Mara nyingi wamekuwa wanapitisha sheria ambazo baadae tena hurudishwa Bungeni kufanyiwa masahihisho.
 
Nani alipeleka muswada bungeni? Tuanzie hapo ila kumbuka miswada hupelekwa na serikali tu na kwa kuwa Mwigulu ni Waziri wa Fedha, anahusika moja kwa moja.

Halafu usisahau kwamba kwa bunge tulilo nalo lazima mswada utapita tu mradi umefikishwa bungeni na serikali na hilo Mwigulu alilijua vema tu kuwa mswada utapita.
 
1663671228717.png
 
Unakosea sana kumtoa Mwigulu kwenye ujinga huu. UNAKOSEA SANA!

Better sema tatizo ni wote

Na kama hujui tatizo ni mindset za watu. Yaani wabunge wa ccm sijui wanawagaje sijui. Yaani kwao kikubwa ni kuiunga mkono serekali no matter what! Jinsi serekali inavyokuja lazima waiunge mkono. Hii kitu inaumiza sana yaani.
 
Shangaa headings za most of Sosho media zinasema eti Serikali yasamehe tozo.

Hivi huko kusamehe kunatoka wapi? Nadhani ingesomeka yayoa tozo.
 
Wabunge wapo loyal kwa serikali kuliko waliowapigia kura. Serikali ina nguvu kwa wabunge kwa miaka 5,wanachi wana nguvu kwa wabunge kipindi cha kampeni tu.
 
Tatizo ni Mwigulu, hao wabunge wa mwendazake ni wa kuwaonea huruma tu.
 
Back
Top Bottom